Hahahaaaa....... Anaileta Marekani Kigamboni, tatizo liko wapi bwashee?
Maskini ndio unatamani kwenda Marekani!
Hahahaaaa.......sijadharau nimeelezea namna nilivyomfahamu kamanda Methew!Unaidharau kazi ya kukaanga sambusa, wakati huo huo unaitukuza kazi ya kuuza chai na maandazi ndani ya buffet ya trc kipindi kile?
In God we Trust
Hahahaaaa.......sijadharau nimeelezea namna nilivyomfahamu kamanda Methew!
Bwashee kwani kuuza kukaanga samosa ni dhambi?!Ndugu punguza madharu kwa usiyo kubaliana nao kiitikadi maana kuna wengine wanakufahamu vema wapi ulianzia
In God we Trust
Bwashee kwani kuuza kukaanga samosa ni dhambi?!
Hata Freeman na Kusaga walianzia kwenye Udj!
Kila mtu ana historia.
Bwashee mimi namuheshimu sana kamanda Methew!Ndiyo sasa upunguze madharau na masimango ya kudharau watu kisa nature ya kazi zao
In God we Trust
Bwashee mimi namuheshimu sana kamanda Methew!
kwa nini ccm wasiruhusu tume huru kwa sababu wao wanapendwa na wananchi?Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
umaskini wataumaliza mishahara itapanda na tume ya uchaguzi itakuwa hurujohnthebaptist,
Wakifanya hayo then umaskini unatoka si ndiyo?
ccm kama wanaubavu waruhusu tume huru ili mwaone kama wanapendwa pamoja na kurubuni wanasiasa malaya malayaBaada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa.
Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu ya wana-Chadema wamerejesha kadi na bendera za chama hicho na wanasubiri kukabidhiwa kadi za CCM na kigogo mmoja wa chama atakayezuru Ndanda na Masasi hivi karibuni.
Maendeleo hayana vyama!
Huo wimbo unachosha.ccm kama wanaubavu waruhusu tume huru ...
Zanzibar kuna Tume huru bwashee........ile ya Jecha!ccm kama wanaubavu waruhusu tume huru ili mwaone kama wanapendwa pamoja na kurubuni wanasiasa malaya malaya
wakibaki umaskin unaishajohnthebaptist,
Wakifanya hayo then umaskini unatoka si ndiyo?