Huyu mtu wako ni mpigaji tu, hata shule yake ya Alliance imefungiwa kwa sababu za udanganyifu kuhadaa wazazi kuwa watoto wana ufaulu wa juu kumbe wanaiba mitihani!
Ongea hoja hapa. Kama huna hoja jibu hoja nilizo zitoa hapo sio kuleta hapa ufinyu wa kufikiri!!
Mkuu ww umewekeza hapa Tz hata kibanda cha kuajiri hata mtu 1?
Ni mwanafunzi ndie alikutwa na Notes! Hiyo ni kawaida tu. Watamalizana na Wizara husika. Kwani yy ni wa kwanza hapa Tz? Je za Gvt zinazofutiwa matokeo ya mitihani kila mwaka!! Mf.January Makamba walifutiwa shule nzima ni ya Bwire? Vyuo vikuu tu daily watu hufukuzwa kisa mitihani!!
TFF ina mtegemea kwa kuzalisha vipaji. Ana watoto wa TFF zaidi ya 20. Shule from Primary to Secondary. Diwani yupi wa CCM ana maendeleo halali kama Bwire hapa Mwanza?
Hao madiwani wamejenga hoja ipi? Waseme amekwamisha miradi zipi?
Nadhani ujikite ktk maendeleo. Ebu watajie watanzania tuhuma yoyote ya upigaji wa Bwire.
Namshangaa huyu JPM kila akija Mwanza hatulii kutumbua majipu. Utasikia kapita huyoooooo Chato. Kuna Majipu makubwa Mwanza kuanzia utawala wa Mkurugenzi Wilson Kabwe akisaidiana na Meya Stanslaus Mabula enzi zao: Wiwanja vya makazi-mf Luchelele, ujenzi barabara, ujenzi clinic, hela za miradi, upimaji, ujenzi holela, upanuzi wa barabara, fidia maeneo mbalimbali, miradi ya Maji, mradi wa Dampo, matengenezo ya barabara ndogo za vumbi hasa madaraja, nk.
Inshort ukichukuwa CAG Report from 2005 to 2016 Jiji lina hati chafuuuu tupu. Billions of money wamekula. Mji haujapangwa, barabara moja tu toka Kisesa hadi Buhongwa na finyu, nk.
JPM KAMATA WEZI