Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Nzega mkoani Tabora wamesema wanakusudia kumpeleka mahakamani Mbunge wa Nzega kupitia CCM mh Kigwangala kwa kuwaita wala Rushwa.
Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu mwenyekiti wa halmashauri ya Nzega mh BEN IZENGO amesema kuwa ktk kikao cha halmashauri kilichokuwa kikifanyika juzi Mh Kigwangala aliwatuhumu Madiwani hao kwa kuwaambia wamekula Rushwa.kitendo ambacho sio cha kweli na kimewachukiza sana. Amesema kuwa pamoja na kuwa mh Kigwangala aliomba Msamaha lakini Nia yao ya kumpeleka mahakamani ipo pale pale!
Source; Radio Free Afrika.
Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu mwenyekiti wa halmashauri ya Nzega mh BEN IZENGO amesema kuwa ktk kikao cha halmashauri kilichokuwa kikifanyika juzi Mh Kigwangala aliwatuhumu Madiwani hao kwa kuwaambia wamekula Rushwa.kitendo ambacho sio cha kweli na kimewachukiza sana. Amesema kuwa pamoja na kuwa mh Kigwangala aliomba Msamaha lakini Nia yao ya kumpeleka mahakamani ipo pale pale!
Source; Radio Free Afrika.