Madiwani Dar es Salaam kuchelewesha miradi kuna nini?

Kikiwo

JF-Expert Member
Nov 30, 2017
1,967
1,046
Wana JF jana nilifikiri kuhusu ucheleweshaji wakuamua hii miradi lini na wakati gani ianze kama Mku wa Dsm-mkoa alivyosema nkaona kuna jambo la kufanya kukata mzizi wa fitina.

Sasa sijui vizuri kama Madiwani wanapata mishahara nachojua wao wanaishi kwa posho za vikao. Kwa mantiki hiyo "it goes without say" kwamba lazima miradi ichelewe ili posho nazo ziwe nono. The more vikao the more money they get.

Nadhanihawa watu wapangiwe mishahara kwa mwezi ili vikao viwepo bila posho hapo miradiitakwenda.
 
Hakuna hawacheleweshi miradi, ila kuna conflict of power. Kwakuwa Dar ilichukuliwa sehemu kubwa na wapinzani, kwahiyo serikali iliamua kuwakwamisha. Wala usikubaliane na matamko ya Jiwe au Bashite ni ghiriba tu kwa wananchi.
 
Hakuna hawacheleweshi miradi, ila kuna conflict of power. Kwakuwa Dar ilichukuliwa sehemu kubwa na wapinzani, kwahiyo serikali iliamua kuwakwamisha. Wala usikubaliane na matamko ya Jiwe au Bashite ni ghiriba tu kwa wananchi.
Sio kinyume chake? Sio kwamba wapinzani Madiwani wanakwamisha?
 
Back
Top Bottom