Hon. Aikambe
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 443
- 70
Wewe tangu dada yako afanye kazi ya bar unadhani kila mtu anafanya kazi bar.
Mkuu chadema walianza na shetani watamaliza na shetani kwa sasa wamefikia hatua ya kupigana matofari kwenye vikao baada ya wizi wao wanaoibiana pesa za ruzuku sasa wanatandikana.
Eliza na wewe unatukana du! Sijaamini bado.Wewe ndie una laana si bure
hivi kipi kizuri? Kuwa mfuasi wa babu na kuwa mfuasi wa mlipuaji mwigulu?Kosa langu hasa ni lipi..,kufikisha habari hii au..? mbona imeanza mvua ya matusi..hivi ninyi wafuasi wa babu mnamatatizo gani katika vichwa vyenu..?
Wengi mlioolewa na kuachika mko hivyo sikushangai pole vitanda ulivyovitandika lazima utavitandua tu.kakumbia nani, itakuwa shetani ndo dadaako
Babu anathamani gani mkuu kaa ukijua kuwa kwa sasa thamani yake ni sawa na dishi la maji tu.hivi kipi kizuri? Kuwa mfuasi wa babu na kuwa mfuasi wa mlipuaji mwigulu?
hivi kipi kizuri? Kuwa mfuasi wa babu na kuwa mfuasi wa mlipuaji mwigulu?
Kwa hapo ulipo unasumu au tofari?nyie wala hata cyo bar tu,ni zile bar mbege na gongo,na kama siasa inawashinda kuweni wastaarabu japo kidogo, mnashusha heshima yenu, kazi mnayo mpak 2015 mtabwata sana, poleni sana, cdm kazi ni kwako
Mlianza na shetani mtamaliza na shetani mmefanya maasi mengi sana mungu kawalaani rudini kwa shetani.kakumbia nani, itakuwa shetani ndo dadaako
Mlianza na shetani mtamaliza na shetani mmefanya maasi mengi sana mungu kawalaani rudini kwa shetani.
unackia raha sana kumtaja shetani, ila najua msumari umeingia vzri, jifunzeni kupokea matokeo, hapa ni siasa safi tu,mlizoea sana kuiba na kudhulumu kura sasa mtaonja joto la jua,lazima visigino vikatike mwaka huuMlianza na shetani mtamaliza na shetani mmefanya maasi mengi sana mungu kawalaani rudini kwa shetani.
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.
Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.
Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.
Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.
ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.
Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.
Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.
Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.
ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...
Sasa matusi ya nini jamani. Mbona mimi nimewapasha habari kistaarabu kabisa. Au mmeshaamka na viroba na mbege kama kawaida yenu.?
Madiwani wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamelipuana katika kikao cha Baraza la Madiwani Jiji la Mwanza, baada ya Diwani wa Igoma, Adamu Chagulani kumtuhumu mwenzake wa Kata ya Pamba Samwel Range kuwa ameghushi stakabadhi za kukusanyia malipo katika masoko yaliyopo katika kata yake.
Tafrani hiyo ilizuka jana katika kikao kilichokuwa kinajadili namna ya kupambana na taarifa zilizopo kuwa baadhi ya watendaji si waaminifu katika jiji hilo.
Chagulani, alisema kuwa watendaji hao wamekuwa wakichapisha stakabadhi feki kwa lengo la kuliibia jiji ili lisiweze kupata mapato kwa mujibu wa sheria.
Chanzo cha habari:
Gazeti la Kila siku la RAI, Ijumaa Novemba 8, 2013.
Ukurasa wa 7.
ANGALIZO:
Hii ni zaidi ya kulala na Bundi.
Amini amini nawaambia.,chama hiki kina LAANA kutoka kwa mungu mwenyewe...