Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Madhehebu ya Kikristo kuitenga Serikali

Status
Not open for further replies.

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,916
Leo nikiwa kijiweni kwangu hapa Ng'ambo Tabora..mtaa wa Kiyungi-(Asante kwa Air Tanzania mana tunapata sasa magazeti ya leoleo).. Nimepitia Gazeti la Mawio,moja ya habari kubwa ni Mkutano wa Jukwaa la Wakristo chini ya U/kiti wa Askofu Ngalalekumtwa(TEC).

Askofu Kitula(CCT) na Askofu Batenzi(PCT) Kwamba ifikapo 1 Julai,kanisa liwatangazie waumini kuwa wao wamesitisha uhusiano na serikali,yaani kutowaalika viongozi wa serikali ktk shughuli za kanisa,na wao viongozi wa kanisa kutohudhuria pale wanapoalikwa na Serikali...

Viongozi hao wamesema Serikali imeshndwa kuchukua hatua kwa madai mengi,kama vile "baadhi ya wanasiasa wa chama tawala wamediriki kulieleza Bunge kwamba Chadema ni chama cha Wakristo".....pia kitendo cha Usalama wa Taifa kufanya njama na kumwambia Pengo kuwa mlipuko wa Arusha ni tukio la Kigaidi hata kabla ya uchunguzi...kwa utamu zaidi Gazeti la Mawio la leo.....

My Take: Je kitendo hiki ni suluhu kwa mustakabari wa Taifa?
 
mkuu..mustakabal wanao watawala....! we unaona wanayofanyiwa ni sawa? tena nackia kes ya yule jamaa anaetuhumiwa kumuua padre mushy mbioni kufutwa!!! tuseme tu ukwel, mwenye wajib wa kulinda uhai wa raia nchini ni serikal sasa inakula viapo day and then lakn hakuna ki2! bado hujagusia propaganda za et CDM ni cha wakristo alaf iweje? ilo swal la mstakabal mpigie JK. Utapata jib zuri..!
 
Mkuu barafu , Julai 1 Mbona Mbali sana, mie ujumbe wao nimeshaupokea Tayari.
Mie na Familia Yangu tutakuwa wanachama hai wa CDM, hii itaisaida Kuwaondolea Dhambi Magamba ambayo Kila siku ya hubiri Uongo kuwa Wa Kristo wote ni CDM.
So next time yakihubiri kuwa wakristo wote ni CDM, Hatakuwa yanapata Dhambi ya Kusema Uongo coz huo ndo utakuwa ukweli wenyewe tofauti na Sasa
 
Last edited by a moderator:
Kama viongozi wa ccm wanasema chadema ni chama cha wakristo basi ccm ni chama chama cha dini nyingine na pia wapagani.
 
Tena wajenge hospitali zao waache kuomba msaada kwa kanisa
 
Two things are involved here

Umepewa tena ya kulimaketi gazeti? Au viongozi wa kanisa wanajikanganya, tangu lini kuzira ikawa suluhu?
 
Hawana kazi ya kufanya hao! Nisawa nakutishia kujamba wakati unaharisha kanisa lenyewe linaendeshwa na serkali alaftena kanisa hilohilo linataka kuisusa serkali? Wajaribu kama hawajafunga Hospital na mashule yao.
 
Tena wajenge hospitali zao waache kuomba msaada kwa kanisa

Hiyo itawaathiri nyie maana huduma zote (Mashule na Hospitali) zinaendeshwa kwa mfuko wa serkali.
 
Suala lao kutaka kujitenga na serikali siingilii lakini naomba niwape ushauri kwamba waache kuwa wanafiki nyakati za uchaguzi kuwaita viongozi wateule kuwa eti ni chaguo la Mungu. Kama ilivyokuwa katika kampeni za mwaka 2005 walipagawa na kumuita Kikwete kuwa eti ni chaguo la Mungu alipokuwa akinadi ile "Kasi Mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya" na ile Slogani maarufu ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania" Leo kawatenga pembeni kisha amegeuka kuwa nani "Chaguo la Shetani??" Hapana vumilieni tu hadi amalize kipindi chake maana kama siyo nyie huenda hangekuwa Rais!!! Jipu likikupata dawa yake si kufunika bali ni kulitumbua tu.
 
Hapo kuna kazi,ngoja tusubiri tuone naona episod mpya inakuja sasa.
 
Leo nikiwa kijiweni kwangu hapa Ng'ambo Tabora..mtaa wa Kiyungi-(Asante kwa Air Tanzania mana tunapata sasa magazeti ya leoleo).. Nimepitia Gazeti la Mawio,moja ya habari kubwa ni Mkutano wa Jukwaa la Wakristo chini ya U/kiti wa Askofu Ngalalekumtwa(TEC).

Askofu Kitula(CCT) na Askofu Batenzi(PCT) Kwamba ifikapo 1 Julai,kanisa liwatangazie waumini kuwa wao wamesitisha uhusiano na serikali,yaani kutowaalika viongozi wa serikali ktk shughuli za kanisa,na wao viongozi wa kanisa kutohudhuria pale wanapoalikwa na Serikali...

Viongozi hao wamesema Serikali imeshndwa kuchukua hatua kwa madai mengi,kama vile "baadhi ya wanasiasa wa chama tawala wamediriki kulieleza Bunge kwamba Chadema ni chama cha Wakristo".....pia kitendo cha Usalama wa Taifa kufanya njama na kumwambia Pengo kuwa mlipuko wa Arusha ni tukio la Kigaidi hata kabla ya uchunguzi...kwa utamu zaidi Gazeti la Mawio la leo.....

My Take: Je kitendo hiki ni suluhu kwa mustakabari wa Taifa?

#Barafu ; well done umetimiza wajibu wako fanya kazi uishi.. ila angalia impact ya kazi yako, kwa nchi masikini kama Tanzania I think we need to focus on maendeleo, hivi matokeo haya ya form 4 hakuna nduguyo amekuwa victim??
Think aloud!
 
Leo nikiwa kijiweni kwangu hapa Ng'ambo Tabora..mtaa wa Kiyungi-(Asante kwa Air Tanzania mana tunapata sasa magazeti ya leoleo).. Nimepitia Gazeti la Mawio,moja ya habari kubwa ni Mkutano wa Jukwaa la Wakristo chini ya U/kiti wa Askofu Ngalalekumtwa(TEC).

Askofu Kitula(CCT) na Askofu Batenzi(PCT) Kwamba ifikapo 1 Julai,kanisa liwatangazie waumini kuwa wao wamesitisha uhusiano na serikali,yaani kutowaalika viongozi wa serikali ktk shughuli za kanisa,na wao viongozi wa kanisa kutohudhuria pale wanapoalikwa na Serikali...

Viongozi hao wamesema Serikali imeshndwa kuchukua hatua kwa madai mengi,kama vile "baadhi ya wanasiasa wa chama tawala wamediriki kulieleza Bunge kwamba Chadema ni chama cha Wakristo".....pia kitendo cha Usalama wa Taifa kufanya njama na kumwambia Pengo kuwa mlipuko wa Arusha ni tukio la Kigaidi hata kabla ya uchunguzi...kwa utamu zaidi Gazeti la Mawio la leo.....

My Take: Je kitendo hiki ni suluhu kwa mustakabari wa Taifa?

Hayo ni machadema aka bange, viroba and hangover at work
 
Suala lao kutaka kujitenga na serikali siingilii lakini naomba niwape ushauri kwamba waache kuwa wanafiki nyakati za uchaguzi kuwaita viongozi wateule kuwa eti ni chaguo la Mungu. Kama ilivyokuwa katika kampeni za mwaka 2005 walipagawa na kumuita Kikwete kuwa eti ni chaguo la Mungu alipokuwa akinadi ile "Kasi Mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya" na ile Slogani maarufu ya "Maisha Bora kwa Kila Mtanzania" Leo kawatenga pembeni kisha amegeuka kuwa nani "Chaguo la Shetani??" Hapana vumilieni tu hadi amalize kipindi chake maana kama siyo nyie huenda hangekuwa Rais!!! Jipu likikupata dawa yake si kufunika bali ni kulitumbua tu.

Si ndo wanataka kuanza kulitumbua jipu?,kwa mujib wao nadhan ndo itakuwa mwanzo wa suluhisho.
 
Hizo ni propaganda na mawazo ya mwandishi aliyeandika Hilo gazeti. Viongozi wa dini hawawezi kuwatenga viongozi wa serikali maana hao pia ni waumini wao makanisani. Wanakua viongozi wa serikali wanapokua kwenye ofisi zao, Wakija kanisani ni waumini. Viongozi wa makanisa ya kikristo ni Watu walioenda shule na wenye maamuzi makini sana maana wanaongoza mamilion ya Watu ndo maana wanakua makini sana katika kauli zao
 
Mbona wameshaitenga LONG TIME, au wanazungumzia Phase ya pili ya kuitenga!
 
Hakuna ushirika kati ya nuru na giza.Kwa imani tunaenenda na taifa linazeeka lakini umoja wetu unadhoofika kwa sababu ya watu kupenda matendo ya giza zaidi kuliko kupenda nuru.Mungu aturehemu watu wamgeukie
 
Mambo ndo hayo. Kwanza mi naona wamechelewa na ingebidi waanzie kwenye mlipuko wa Arusha. Hatuwezi kubembeleza serikali wakati ni jukumu lake kulinda raia na mali zao. Good job.
 
Hivi nyinyi mnaochangia na kuunga mkono hayo madhehbu kujitenga, mna akili timam? Kwa nin mnataka kuivuruga tz kwa mambo ya udin, mnajua madhara wakati mwingine co mnachangia tu kisa mada imewekwa. Tuangalie kujitenga ni suluhisho? Tuache mambo haya, na hawa viongozi wa dini sasa! Na kwa suala la dini hata wangeingia chama gani pasipo njia mbadala haliishi. Mwingine anachangia anasema; et mi na familia yng tunahamia cdm, unafkr chadema ni suluhisho la huu udini unaoibuka. TUWENI MAKINI wajameniiii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom