Eng Kahigwa
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 783
- 632
Ishu ya kupata watoto wa kike kwa hilo sina uhakika nalo na kwa ishu ya kufanya vibarua karibu na minara huwa haikudhuru kwa kiwango kikubwa kama cha yule anayeishi eneo hilo...hii ni kutokana, wewe hukai kwa kipindi kirefu ktk hilo eneo kama yule anayeishi hapo na kwa muda zaidi unapokuwa exposed katika hilo eneo ndivyo athari nazo zinaongezeka.Kwamaana hiyo wakina sie tunaofanya vibarua kwenye hii minara tupo hatarini zaidi?...nakunamtaalam mmoja aliwahi kuniambia hiyo mionzi inapelekea kupata watoto wa kike tu wakiume utawaonea kwa jirani
