Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

Aisee chalii hizo akili zako umekopa? Wewe ulivyomtongoza huyu dada ulikuwa unategemea nini? Napenda nikuhakikishie kwamba wewe huo mchezo unaotaka kuufanya utakugharimu alafu baadae uje hapa uanze kutuambia una majeraha moyoni na yana plasta. Tulizana na acha mambo ya kizamani.
 
kwa nini umuache anayekupenda? me naamini unampenda na ndiyo maana upo naye, tulia hapo itakula kwako
 
kumbe unasoma MD ndo zenu hamjielewagi
kabisa mnataka nn,kafie mbali
 
Tayari umeshamvuta kihisia kwa ukaribu na story mlizopiga, umeharibu kwa hapo, ila sikushauri uoe mtu ambaye humpendi, unachotakiwa kufanya nikutomuweka karibu kihisia mtu ambaye humpendi.

Hata mimi ilinitokea msichana alinipenda mno kwa ishara zote na maneno ila mimi sikuitikia kabisa hisia zake akaamua kuacha kujikomba kwangu
 

ahsante kwa ushauri mkuu,..
 
Kijana! Mpende akupendaye,asiyekupenda achana naye! Unataka mwanamke gani zaidi ya huyu? Na kama hukuwa na mpango wa kuishi naye kama mkeo, ni bora usimuharibie maisha yake binti huyo makini.Waachie waoaji wajipatie mke mwema.Wewe ukapambane na vicheche!
 
Naona bado haujajua maana ya tatizo.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 

nashukuru kwa ushauri mkuu,.

Tatizo moyo haujapenda,.
 
nashukuru kwa ushauri mkuu,.

Tatizo moyo haujapenda,.
Kama ni moyo wako huo huo ndio umejiridhisha juu ya tabia hizo njema za huyo mdada ulizozionesha, basi tatizo ni wewe kukataa kupokea maamuzi ya moyo wako.MAUNGU AKUSAIDIA ON HOW TO OVERCOME THAT CHALLENGE! Obey your heart desire!
 
Kama ni moyo wako huo huo ndio umejiridhisha juu ya tabia hizo njema za huyo mdada ulizozionesha, basi tatizo ni wewe kukataa kupokea maamuzi ya moyo wako.MAUNGU AKUSAIDIA ON HOW TO OVERCOME THAT CHALLENGE! Obey your heart desire!

sawa mkuu, mkuu ila umejikita zaidi kunilaumu badala ya kushauri!!
 
acha uboya,usipoteze hyo fursa,watu wanatafta sana fursa za namna hyo,unataka uendelee kupata kama yule wa kwanza sio?we unaonekana bado unampenda yule wa kwanza ambae hakupend,pia bado unajipa matumain kua utarudiana nae,haya bwana,kuna mtu kakwambia mkataa pema...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…