BabaLove
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 232
- 334
Habarini na poleni na majukumu ya kuimarisha huu uchumi wetu mpya.
Kuna baadhi ya watu wanaamini kwenye ule mchezo wa WAKUBWA TU kuunga round ya kwanza na ya pili bila kupumzika ndo ushababi kwelikweli ila juzi kati tunapiga story na mzee mmoja akadai huo mchezo sio mzuri na kiafya una madhara kwa mwanamme japo hakutaka kufunguka sana.
Nikaona nilete hapa hii hoja ili wenye uelewa na hili swala watujuze, tujuzane faida na madhara ya yake.
NAMASTE
Kuna baadhi ya watu wanaamini kwenye ule mchezo wa WAKUBWA TU kuunga round ya kwanza na ya pili bila kupumzika ndo ushababi kwelikweli ila juzi kati tunapiga story na mzee mmoja akadai huo mchezo sio mzuri na kiafya una madhara kwa mwanamme japo hakutaka kufunguka sana.
Nikaona nilete hapa hii hoja ili wenye uelewa na hili swala watujuze, tujuzane faida na madhara ya yake.
NAMASTE