Zakaria Maseke
Member
- Apr 26, 2022
- 83
- 138
Katika magonjwa yanayoongoza kuua watu ni HASIRA au KINYONGO. HASIRA au KINYONGO ni chanzo cha magonjwa mengi na vifo. Vinapunguza sana siku za kuishi.
Uchungu usipoutoa moyoni utatokea sehemu nyingine, ๐ ukitokea kwenye ziwa, ๐คฑ tunaita kansa ya titi, ๐ ukitokea kwenye moyo tunaita presha, ๐ฏ
Kila ukikasirika nyongo inamwagika. Watu wenye tabia ya kupandwa na hasira mara kwa mara wako kwenye hatari kubwa sana ya kupata vidonda vya tumbo.
Ukiwa na uchungu au hasira sana hata kinga za mwili zinashuka. Kinga zikishuka kila ugonjwa unaokuja utakupitia.
Chunga sana usikae na uchungu au hasira moyoni, ๐ inazuia hata msamaha wa dhambi. ๐ Maana kanuni ya Mungu inasema, โutusamehe dhambi zetu, ๐ kama sisi nasi tuwasamehevyo waliotukosea.โ Mathayo 6:12 ๐
Usikubali kumuwekea mtu kinyongo. Mungu akisema uachilie ni kwa faida yako, kwanza unafungulia kusamehewa dhambi zako, pili unaponya afya yako.
Mungu anaposema samehe na usahau ni ili utoe nyongo moyoni, kusamehe ni kujipa uhuru, unajitoa kwenye gereza wewe mwenyewe.
Vitu vingine kwenye maisha potezea, ๐ acha kubeba kila kitu. ๐ Aliyekuacha unaweka moyoni, ๐ wakikusema vibaya unaweka moyoni. ๐ฅฑ Utabeba wangapi mwisho moyo upasuke bure, mwisho sura izeeke mapema msemo wa mwimbaji fulani.
Tafadhali, usife na uchungu, toa hiyo nyongo. Hakuna maumivu yanayoshinda msamaha, ukitaka upone haraka we kubali kusamehe.
Msamaha haina maana ni udhaifu, ๐ โโ๏ธ ukiendelea kumuweka mtu moyoni ๐ unayeumia ni wewe. Hata dhambi zako hazitafutwa kama umeshindwa kuwasamehe waliokukosea. Mungu anasema โHeri wenye rehema, ๐ Maana hao watapata rehema.โ ๐ Mathayo 5:7 ๐
Rehema maana yake ni huruma. ๐ฐ Kama unataka Mungu akuhurumie ๐ฏ na wewe hurumia wengine. ๐
Kama kuna mtu hujamsamehe, ๐ฏ kaa ukijua kabisa dhambi zako hazijafutwa. ๐ โโ๏ธ โBali msipowasamehe watu makosa yao, ๐ wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.โ ๐ Mathayo 6:15
Kama kuna mtu bado una bifu naye, ๐ hamsalimiani ๐ au hujamsamehe, โบ๏ธ na wewe dhambi zako bado ziko hapo hewani ๐ hazijapita hata sayari ya Mars kwenda kufutwa Mbinguni. ๐คญ Rejea sala ya Baba yetuinasema, โutusamehe kama na sisi tunavyowasamehe waliotukoseaโ ๐ง๐ปโโ๏ธ
Na msamaha hauna limit (kikomo). Siku moja petro alimuuliza Yesu, โ๏ธ โBwana, ๐ฏ ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? ๐ Hata mara saba? ๐คทโโ๏ธ Yesu akamwambia, ๐ฏ Sikuambii hata mara saba, โ bali hata saba mara sabini. โ๐ Mathayo 18:22
7 x 70 = 490.๐ Kwa hiyo mtu akukosee hata mara 490. ๐ Hilo fungu linasema ili ifikie kikomo cha kumsamehe mtu โบ๏ธ zifike mara 490 kwa kosa hilo hilo, ๐คญ na hayo makosa yafanyike kwa siku moja. ๐
โKama ndugu yako akikosa, ๐ฐ mwonye; akitubu msamehe. ๐ Na kama akikukosa mara saba katika SIKU MOJA,๐ na kurudi kwako mara saba, ๐ง๐ปโโ๏ธ akisema, Nimetubu, ๐โโ๏ธ msamehe.โ ๐ Luka 17:3-4
Ikimbie migogoro isiyo na sababu. ๐ Hakuna haja ya kupigana ili kudhihirishia ulimwengu ๐ kwamba wewe ni mwanaume au ni mwema. ๐ โโ๏ธ
Hapo kale mliambiwa, โJicho ๐๏ธ kwa jicho, ๐๏ธ na jino ๐ฆท kwa jino. ๐ฆท Lakini mimi (Yesu) nawaambia, Msishindane na mtu; ๐ โโ๏ธ lakini mtu akupigaye shavu la kuume, ๐ฅฑ mgeuzie na la pili.โ ๐ Mathayo 5:38-39
โA wise man was asked what is anger? He gave a beautiful answer: It is a punishment we give to ourselves for somebody elseโs mistake.โ (Mwenye hekima aliulizwa, hasira ni nini? Akajibu vizuri sana, kwamba ni adhabu tunayojipa wenyewe kwa makosa ya mtu mwingine. โ Unknown
Sulemani yeye anatuambia, โUsifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavuโ Mhubiri 7:9
Kuna nukuu moja inasema, โKama tungelipiza visasi โน๏ธ kama tungewachafua waliotuchafua, ๐คง kama tungewaharibia walio tuharibia, ๐ leo tusingefika hapa tulipo. โบ๏ธ๐ โโ๏ธ Kuna nguvu katika kukubali aibu, ๐ kusamehe, ๐ kukaa kimya, ๐ท kuachilia, ๐ lakini zaidi kusimama na Mungu.โ๐โโ๏ธ
By Zakaria Maseke
(0754575246 WhatsApp)
Piga bure.
Uchungu usipoutoa moyoni utatokea sehemu nyingine, ๐ ukitokea kwenye ziwa, ๐คฑ tunaita kansa ya titi, ๐ ukitokea kwenye moyo tunaita presha, ๐ฏ
Kila ukikasirika nyongo inamwagika. Watu wenye tabia ya kupandwa na hasira mara kwa mara wako kwenye hatari kubwa sana ya kupata vidonda vya tumbo.
Ukiwa na uchungu au hasira sana hata kinga za mwili zinashuka. Kinga zikishuka kila ugonjwa unaokuja utakupitia.
Chunga sana usikae na uchungu au hasira moyoni, ๐ inazuia hata msamaha wa dhambi. ๐ Maana kanuni ya Mungu inasema, โutusamehe dhambi zetu, ๐ kama sisi nasi tuwasamehevyo waliotukosea.โ Mathayo 6:12 ๐
Usikubali kumuwekea mtu kinyongo. Mungu akisema uachilie ni kwa faida yako, kwanza unafungulia kusamehewa dhambi zako, pili unaponya afya yako.
Mungu anaposema samehe na usahau ni ili utoe nyongo moyoni, kusamehe ni kujipa uhuru, unajitoa kwenye gereza wewe mwenyewe.
Vitu vingine kwenye maisha potezea, ๐ acha kubeba kila kitu. ๐ Aliyekuacha unaweka moyoni, ๐ wakikusema vibaya unaweka moyoni. ๐ฅฑ Utabeba wangapi mwisho moyo upasuke bure, mwisho sura izeeke mapema msemo wa mwimbaji fulani.
Tafadhali, usife na uchungu, toa hiyo nyongo. Hakuna maumivu yanayoshinda msamaha, ukitaka upone haraka we kubali kusamehe.
Msamaha haina maana ni udhaifu, ๐ โโ๏ธ ukiendelea kumuweka mtu moyoni ๐ unayeumia ni wewe. Hata dhambi zako hazitafutwa kama umeshindwa kuwasamehe waliokukosea. Mungu anasema โHeri wenye rehema, ๐ Maana hao watapata rehema.โ ๐ Mathayo 5:7 ๐
Rehema maana yake ni huruma. ๐ฐ Kama unataka Mungu akuhurumie ๐ฏ na wewe hurumia wengine. ๐
Kama kuna mtu hujamsamehe, ๐ฏ kaa ukijua kabisa dhambi zako hazijafutwa. ๐ โโ๏ธ โBali msipowasamehe watu makosa yao, ๐ wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.โ ๐ Mathayo 6:15
Kama kuna mtu bado una bifu naye, ๐ hamsalimiani ๐ au hujamsamehe, โบ๏ธ na wewe dhambi zako bado ziko hapo hewani ๐ hazijapita hata sayari ya Mars kwenda kufutwa Mbinguni. ๐คญ Rejea sala ya Baba yetuinasema, โutusamehe kama na sisi tunavyowasamehe waliotukoseaโ ๐ง๐ปโโ๏ธ
Na msamaha hauna limit (kikomo). Siku moja petro alimuuliza Yesu, โ๏ธ โBwana, ๐ฏ ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? ๐ Hata mara saba? ๐คทโโ๏ธ Yesu akamwambia, ๐ฏ Sikuambii hata mara saba, โ bali hata saba mara sabini. โ๐ Mathayo 18:22
7 x 70 = 490.๐ Kwa hiyo mtu akukosee hata mara 490. ๐ Hilo fungu linasema ili ifikie kikomo cha kumsamehe mtu โบ๏ธ zifike mara 490 kwa kosa hilo hilo, ๐คญ na hayo makosa yafanyike kwa siku moja. ๐
โKama ndugu yako akikosa, ๐ฐ mwonye; akitubu msamehe. ๐ Na kama akikukosa mara saba katika SIKU MOJA,๐ na kurudi kwako mara saba, ๐ง๐ปโโ๏ธ akisema, Nimetubu, ๐โโ๏ธ msamehe.โ ๐ Luka 17:3-4
Ikimbie migogoro isiyo na sababu. ๐ Hakuna haja ya kupigana ili kudhihirishia ulimwengu ๐ kwamba wewe ni mwanaume au ni mwema. ๐ โโ๏ธ
Hapo kale mliambiwa, โJicho ๐๏ธ kwa jicho, ๐๏ธ na jino ๐ฆท kwa jino. ๐ฆท Lakini mimi (Yesu) nawaambia, Msishindane na mtu; ๐ โโ๏ธ lakini mtu akupigaye shavu la kuume, ๐ฅฑ mgeuzie na la pili.โ ๐ Mathayo 5:38-39
โA wise man was asked what is anger? He gave a beautiful answer: It is a punishment we give to ourselves for somebody elseโs mistake.โ (Mwenye hekima aliulizwa, hasira ni nini? Akajibu vizuri sana, kwamba ni adhabu tunayojipa wenyewe kwa makosa ya mtu mwingine. โ Unknown
Sulemani yeye anatuambia, โUsifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavuโ Mhubiri 7:9
Kuna nukuu moja inasema, โKama tungelipiza visasi โน๏ธ kama tungewachafua waliotuchafua, ๐คง kama tungewaharibia walio tuharibia, ๐ leo tusingefika hapa tulipo. โบ๏ธ๐ โโ๏ธ Kuna nguvu katika kukubali aibu, ๐ kusamehe, ๐ kukaa kimya, ๐ท kuachilia, ๐ lakini zaidi kusimama na Mungu.โ๐โโ๏ธ
By Zakaria Maseke
(0754575246 WhatsApp)
Piga bure.