Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Wanajf, napenda niwape adhari za kufanya oral sex kwa wanaume na wanawake, kuna baadhi ya wapenzi hupenda kunyonyana sehemu za siri aidha uumeni au ukeni na wengine huenda mbali zaidi na kunyonya tigo,sasa nawapa tahadhali kuwa nimepata mgonjwa ambao amekohoa kwa muda wa miezi mitatu na katumia dawa kibao na kupima tb lakini wapi, alipokuja kwangu nikafanya sputum culture na kuota wadudu aina ya e.coli ambao hukaa sana sehemu za siri(normal flora) sio mdomoni na hao ndio waliokuwa wanamletea kikohozi ambacho kilifanya pafu lake moja kucollapse.napenda mtambue hili kuwa ukinyonya utawachukua hao wadudu wakiwepo candida au fungus wabaya ambao ni wagumu kupona.mapenzi tufanye ila kila kiungo kina kazi yake, sio mkono au ulimi kupelekwa sehemu za siri.tafadhali