Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 376
- 850
Shujaa kasha pumzika Chato mkuu.
Shujaa wa mavi labda
Shujaa kasha pumzika Chato mkuu.
Honestly mkuu ni zeros, hakuna, ndio maana ukiwauliza wa Lumumba street nini walichoifanyia nchi yetu kwa kodi zetu ,wanakuaga hawana majibu na majibu yao ni matusi tu,Dar ya mkoloni ilijengwa vema,kariakoo ya mkoloni ilikua safi, mitaa ipo safi, huduma safi, sasa ukiingia kariakoo ya sasa ni uchafu mtupu, ujenzi holela, parking hakuna,public toilets hakuna,garden za watu kupumzika hakuna yaani ni vurugu tupuSera gani iliwahi fanikiwa nchi hiii tangu butiama era hadi kizimkazi era?
Kinacho zuia asiwe mtakatifu ni sababu kama hizo hapo juu.Never ever President Nyerere kuwa mwenye heri, haitatokea....Vatican sio mazezeta
Mnaamua kuchafua watu tu. Tanzania ndiyo nchi iliyo stable kuliko nchi zote za Afrika Mashariki na Kati. Amani yetu na utulivu ndivyo vinatufanya tuwe Kimbolton la majirani wakigombana kama DRC, Burundi, Uganda na hata Kenya.Na Hayati Mchungaji Christopher Mtikila.
[Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Democratic party]
JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWENYEWE HERI ?
Tulikuwa hatuamini kabisa kwamba kweli mlikuwa mnataka kumpa dikteta Julius Nyerere kwamba "mwenye heri",ile eti baadaye mmpe "utakatifu".Lakini baada ya kuona haukuwa mzaha,tunalazimika kuwashauri kwamba muachane kabisa na upuzi na kufuru hiyo,kwa sababu sisi tunaandaa kitabu muhimu sana kitakachosomwa na dunia nzima kwa kiingereza,kifaransa na Kiswahili,kinacho elezea kwa kina ushetanj wa mtu ambaye ninyi mmependa aitwe"mwenye heri". Democratic party (DP) tunajenga maadili mapya ya Taifa ya kuwa na hofu kwa mwenyezi Mungu,ndiyo maana tunawajibika hata katika suala hili.
Tumewajibika kuufahamisha Ulimwengu ukweli ufuatao kwa kifupi sana,ambao ambao ulipaswa kuzingatiwa kuhusu mtu huyu kabla ya kufikia kumvika sifa hiyo,isipokuwa kama mmeamua kujitengenezea "cult" ambayo kwa misingi ya haki ya uhuru wa kuabudu hampaswi kuingiliwa na mtu ,mradi hamvunji Sheria wala hamlazimishi wananchi wengine kushiriki katika cult yenu hiyo.Tunaamini kwamba cult hiyo imekuwa ikiimarishwa na wapambe wa huyo dikteta wanaojiita "Mwalimu Nyerere Foundation".
Kwani watu hao ambao wamekuwa wakichotewa hata mamilioni ya fedha ya walalahoi na kuchangisha mapema mengi ndani na nje ya nchi,hawafanyi Kazi yoyote ya kusaidia kuleta maendeleo au misaada ya kijamii.kwa vile wananeemeka kwa kujificha nyuma ya cult hii inawalazimu kuipambisha moto cult hiyo.
UKATILI WA NYERERE,NA JINSI ALIVYOJIJENGEA UMAARUFU.
Julius Kambarage Nyerere alijitengenezea yeye mwenyewe umaarufu wake,kutokana na roho ya kupenda kuabudiwa yaani ile iliyozuka hata ndani ya moyo wa Lucifer ambaye ni shetani ikapelekea kutupwa kwake chini.Nyerere ametumia kwa umakini sana udikteta uliokuwa katika damu yake .Ili kauli yake yeye tu ndiyo isikike katika taifa na iwe kama ya Mungu, dikteta huyo alifuta kabisa haki ya msingi ya uhuru wa maoni na kujieleza bila kuingiliwa,akapiga marufuki vyombo vya habari nchini na kubakiza vya serikali tu,kwa ajili ya kujisikiliza yeye peke yake kwa binadamu wote wa nchi hii.Binadamu yeyote aliyethubutu kusema au kushukiwa kwamba anawaza kinyume na mapenzi yake,aliangukiwa kinyama na nguvu ya dola kama haini.
ALIVYOUA ELIMU ILI ATAWALE WATANGANYIKA KAMA MIFUGO YAKE:
Ili kuwa Mungu wa taifa hili ,dikteta Nyerere alilazimika kuwatiisha watu wa nchi hii kwa kuwapofushwa kabisa kifikra mpaka tukawa kama mataahira,kwa kufuta elimu bora iliyotolewa awali na kubakiza kwa mfano kwa shule ya msingi ambazo alizikomeshea darasa la Saba ,masomo makuu yakawa Kiswahili,Siasa ya kuwapofusha kifikra na kuwafanya wamwabudu,na utamaduni au halaiiki ,walimu wakiwa mbumbumbu wa UPE.
Kwahiyo kila mwaka watoto takribani laki Saba wakawa wanaishia darasa la Saba na upofu huo,na hawa ndio sehemu kubwa ya Taifa letu Leo.Elimu aliifisha mpaka chuo kikuu na kuondoa hata umuhimu wa Lugha ya kiingereza,ili kuwatenga kabisa Watanganyika na Ulimwengu wa uhuru na maendeleo ya kifikra na teknolijia baada ya kuwapofusha.Vinginevyo kwa utajiri wa nchi yetu,leo kila mkoa ungekuwa na chuo kikuu na Tanganyika ingekuwa Ulimwengu wa kwanza kiuchumi.
ALIVYOBOBEA KATIKA NGUVU ZA KISHETANI:
Katika katawala watu wa nchi hii na kuwafanya wamtii na kumwogopa wakiwa kama mifugo yake, Nyerere alitumia sana nguvu za giza,zikiwa ni pamoja na shetani lake liitwalo "Murhunda" na dini ya huyo Mungu wake ya "Nyamurhunda".Mwenye ambao aliutumia kupovusha fikra za wananchi wote wa nchi hii ni kafara ya Nyamurhunda,na hata ninyi bilashaka mnajua kabisa! Nguvu za kuzimu na mashetani yake hakuacha nazo hata sekunde moja katika uhai wake,na alizibeba katika kifimbo chake.
Mbali na Nyamurhunda lake , dikteta huyo alijilimbikizia pia uchawi na mazindiko ya kila kabila nchini,kama alivyoshuhudiwa akifanyiwa hata Jakaya Kikwete katika maeneo ya mbali mbali safari hii.Tena dikteta huyo anakiri yeye mwenyewe katika Kanda zilizopigwa sana alipokufa na kurudi kuzimu milele,kwamba walifanya sana makafara ya uchawi huko Tanga na Bagamoyo,walikochinja mbuzi makaburini na kufanya waliyofanya.Isitoshe hata kiitwacho "Nembo ya taifa ni zindiko la Nyerere"!
Zindiko hili halina mjadala kwa vile limethibitishwa na Bibi yetu Khadija Kamba mwenyewe aonekanaye katika nembo hiyo,kwa njia ya magazeti ,Televisheni ya Taifa na Redio.Kuzindika kitu ni kukikabidhisha kwa mamlaka kuu ya kuzimu yaani Ibilisi,kwa maana kwamba Nyerere alikabidhusha nchi yetu kwa Ibilisi,yaani CCM na utawala kutoka kuzima au ni Ibilisi akiwa katika umbo la chama.
Sisi sote tunakumbuka vioja vya shetani vilivyo tawala kifo cha dikteta huyo,ikiwa ni pamoja na watu kufa wakati wa kutembezwa maiti yake,kwa sababu rahisi kabisa kwamba mashetani yake yalihitaji damu kwahiyo walalahoi wakafanyika kafara.kule alikozikwa kulitokea mauzauza mengi ya kishetani,ambayo vyombo vya habari viliripoti bayana kabisa na kumbukumbu zimehifadhiwa kwa ajili ya vizazi vyote vijavyo,vipate kuufahamu ushetani wa dikteta huyo aliyekuwa mwamba wa ushirikina duniani,kama alivyomsifu hata dada yake aliyeitwa Bi Magige kwamba "mizimu ya Nyerere ina nguvu kuliko serikali",na watu wa chama chake wanaotafuta utawala kishirikina,mpaka Leo hupiga ripoti kwenye Kaburi lake!
ALIVYOTUMIA DOLA KUFANIKISHA MALENGO YAKE YA KISHETANI:
Dikteta huyo alitumia pia vitisho na ukatilii wa kimya kimya ,vilivyowajengea hofu na woga na kuwafunga kabisa vinywa binadamu wote nchini,kwa kutumia mtandao wake mkali sana wa usalama wa Taifa au dola kwa jumla,ambao aliwafunza katika nchi zenye tawala za kikandamizaji,hasa za kikomonisti.Hawa aliwafunza kutesa watu vibaya sana kwa njia mbalimbali,na kuwaua kwa utaalamu ambao ilikuwa vigumu kuhusisha vifo vyao na yeye au serikali yake.
Nyerere alitesa watu wengi sana kizuizini miaka mingi sana bila kuwafikisha mbele ya sheria,wengi walikufa wakiwa kizuizini,ama muda mfupi baada ya kuachiwa huru.kutoka na mateso wengi walitoka ndani wakiwa hawaoni,wengine wakiwa kama punguani,wanaume wengi wakiwa wameuawa kiume.
Dikteta Nyerere alikosa kabisa Kipawa cha kuwavumilia watu waliotofautiana naye kifikra,au waliojaribu kumshauri tofauti na alivyoona yeye,hata akaitwa "Mzee Haambiliki".Wale aliowaogopa kuwa wanamzidi kiakili,au aliodhania ni tishio kwake kisiasa alitesa mpaka na familia zao,ndugu zao na hata rafiki zao! Miongoni mwa waliotofautiana na Nyerere ni hayati Edward Moringe Ole Sokoine,ambaye dikteta huyo hakukanusha alipotuhumiwa hadharani kuhusika na kifo chake katika mkutano mkubwa sana wa kisiasa Jangwani tarehe 23 January 1993.Wengine waliotofautiana naye hatimaye wakakutana na mauti ni Dk Mwanjisi,mchumi profesa Rweyemamu ,Jaji Mwakasendo na wengine wengi.
HAYATI OSCAR KAMBONA KATIKA KIELELEZO CHA UNYAMA WA NYERERE:
..............................
nitarudi.
Tumelaaniwa na taifa teule. Ndiyo maana tunaongoza hadi dakika ya 89 bado dakika moja game iishe ila tunafungwa na kupoteza matumainiAkatuletea wachawi shule za msingi watu fundishe mazingaombwe tuliosoma 1976-80s watakumbuka hili, akatufundisha kuichukia israel na kuikumbatia Waarabu, leo laana inatutafuna kila kona
Umeshapima malaria, naona imepanda kichwani.Na Hayati Mchungaji Christopher Mtikila.
[Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Democratic party]
JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWENYEWE HERI ?
Tulikuwa hatuamini kabisa kwamba kweli mlikuwa mnataka kumpa dikteta Julius Nyerere kwamba "mwenye heri",ile eti baadaye mmpe "utakatifu".Lakini baada ya kuona haukuwa mzaha,tunalazimika kuwashauri kwamba muachane kabisa na upuzi na kufuru hiyo,kwa sababu sisi tunaandaa kitabu muhimu sana kitakachosomwa na dunia nzima kwa kiingereza,kifaransa na Kiswahili,kinacho elezea kwa kina ushetanj wa mtu ambaye ninyi mmependa aitwe"mwenye heri". Democratic party (DP) tunajenga maadili mapya ya Taifa ya kuwa na hofu kwa mwenyezi Mungu,ndiyo maana tunawajibika hata katika suala hili.
Tumewajibika kuufahamisha Ulimwengu ukweli ufuatao kwa kifupi sana,ambao ambao ulipaswa kuzingatiwa kuhusu mtu huyu kabla ya kufikia kumvika sifa hiyo,isipokuwa kama mmeamua kujitengenezea "cult" ambayo kwa misingi ya haki ya uhuru wa kuabudu hampaswi kuingiliwa na mtu ,mradi hamvunji Sheria wala hamlazimishi wananchi wengine kushiriki katika cult yenu hiyo.Tunaamini kwamba cult hiyo imekuwa ikiimarishwa na wapambe wa huyo dikteta wanaojiita "Mwalimu Nyerere Foundation".
Kwani watu hao ambao wamekuwa wakichotewa hata mamilioni ya fedha ya walalahoi na kuchangisha mapema mengi ndani na nje ya nchi,hawafanyi Kazi yoyote ya kusaidia kuleta maendeleo au misaada ya kijamii.kwa vile wananeemeka kwa kujificha nyuma ya cult hii inawalazimu kuipambisha moto cult hiyo.
UKATILI WA NYERERE,NA JINSI ALIVYOJIJENGEA UMAARUFU.
Julius Kambarage Nyerere alijitengenezea yeye mwenyewe umaarufu wake,kutokana na roho ya kupenda kuabudiwa yaani ile iliyozuka hata ndani ya moyo wa Lucifer ambaye ni shetani ikapelekea kutupwa kwake chini.Nyerere ametumia kwa umakini sana udikteta uliokuwa katika damu yake .Ili kauli yake yeye tu ndiyo isikike katika taifa na iwe kama ya Mungu, dikteta huyo alifuta kabisa haki ya msingi ya uhuru wa maoni na kujieleza bila kuingiliwa,akapiga marufuki vyombo vya habari nchini na kubakiza vya serikali tu,kwa ajili ya kujisikiliza yeye peke yake kwa binadamu wote wa nchi hii.Binadamu yeyote aliyethubutu kusema au kushukiwa kwamba anawaza kinyume na mapenzi yake,aliangukiwa kinyama na nguvu ya dola kama haini.
ALIVYOUA ELIMU ILI ATAWALE WATANGANYIKA KAMA MIFUGO YAKE:
Ili kuwa Mungu wa taifa hili ,dikteta Nyerere alilazimika kuwatiisha watu wa nchi hii kwa kuwapofushwa kabisa kifikra mpaka tukawa kama mataahira,kwa kufuta elimu bora iliyotolewa awali na kubakiza kwa mfano kwa shule ya msingi ambazo alizikomeshea darasa la Saba ,masomo makuu yakawa Kiswahili,Siasa ya kuwapofusha kifikra na kuwafanya wamwabudu,na utamaduni au halaiiki ,walimu wakiwa mbumbumbu wa UPE.
Kwahiyo kila mwaka watoto takribani laki Saba wakawa wanaishia darasa la Saba na upofu huo,na hawa ndio sehemu kubwa ya Taifa letu Leo.Elimu aliifisha mpaka chuo kikuu na kuondoa hata umuhimu wa Lugha ya kiingereza,ili kuwatenga kabisa Watanganyika na Ulimwengu wa uhuru na maendeleo ya kifikra na teknolijia baada ya kuwapofusha.Vinginevyo kwa utajiri wa nchi yetu,leo kila mkoa ungekuwa na chuo kikuu na Tanganyika ingekuwa Ulimwengu wa kwanza kiuchumi.
ALIVYOBOBEA KATIKA NGUVU ZA KISHETANI:
Katika katawala watu wa nchi hii na kuwafanya wamtii na kumwogopa wakiwa kama mifugo yake, Nyerere alitumia sana nguvu za giza,zikiwa ni pamoja na shetani lake liitwalo "Murhunda" na dini ya huyo Mungu wake ya "Nyamurhunda".Mwenye ambao aliutumia kupovusha fikra za wananchi wote wa nchi hii ni kafara ya Nyamurhunda,na hata ninyi bilashaka mnajua kabisa! Nguvu za kuzimu na mashetani yake hakuacha nazo hata sekunde moja katika uhai wake,na alizibeba katika kifimbo chake.
Mbali na Nyamurhunda lake , dikteta huyo alijilimbikizia pia uchawi na mazindiko ya kila kabila nchini,kama alivyoshuhudiwa akifanyiwa hata Jakaya Kikwete katika maeneo ya mbali mbali safari hii.Tena dikteta huyo anakiri yeye mwenyewe katika Kanda zilizopigwa sana alipokufa na kurudi kuzimu milele,kwamba walifanya sana makafara ya uchawi huko Tanga na Bagamoyo,walikochinja mbuzi makaburini na kufanya waliyofanya.Isitoshe hata kiitwacho "Nembo ya taifa ni zindiko la Nyerere"!
Zindiko hili halina mjadala kwa vile limethibitishwa na Bibi yetu Khadija Kamba mwenyewe aonekanaye katika nembo hiyo,kwa njia ya magazeti ,Televisheni ya Taifa na Redio.Kuzindika kitu ni kukikabidhisha kwa mamlaka kuu ya kuzimu yaani Ibilisi,kwa maana kwamba Nyerere alikabidhusha nchi yetu kwa Ibilisi,yaani CCM na utawala kutoka kuzima au ni Ibilisi akiwa katika umbo la chama.
Sisi sote tunakumbuka vioja vya shetani vilivyo tawala kifo cha dikteta huyo,ikiwa ni pamoja na watu kufa wakati wa kutembezwa maiti yake,kwa sababu rahisi kabisa kwamba mashetani yake yalihitaji damu kwahiyo walalahoi wakafanyika kafara.kule alikozikwa kulitokea mauzauza mengi ya kishetani,ambayo vyombo vya habari viliripoti bayana kabisa na kumbukumbu zimehifadhiwa kwa ajili ya vizazi vyote vijavyo,vipate kuufahamu ushetani wa dikteta huyo aliyekuwa mwamba wa ushirikina duniani,kama alivyomsifu hata dada yake aliyeitwa Bi Magige kwamba "mizimu ya Nyerere ina nguvu kuliko serikali",na watu wa chama chake wanaotafuta utawala kishirikina,mpaka Leo hupiga ripoti kwenye Kaburi lake!
ALIVYOTUMIA DOLA KUFANIKISHA MALENGO YAKE YA KISHETANI:
Dikteta huyo alitumia pia vitisho na ukatilii wa kimya kimya ,vilivyowajengea hofu na woga na kuwafunga kabisa vinywa binadamu wote nchini,kwa kutumia mtandao wake mkali sana wa usalama wa Taifa au dola kwa jumla,ambao aliwafunza katika nchi zenye tawala za kikandamizaji,hasa za kikomonisti.Hawa aliwafunza kutesa watu vibaya sana kwa njia mbalimbali,na kuwaua kwa utaalamu ambao ilikuwa vigumu kuhusisha vifo vyao na yeye au serikali yake.
Nyerere alitesa watu wengi sana kizuizini miaka mingi sana bila kuwafikisha mbele ya sheria,wengi walikufa wakiwa kizuizini,ama muda mfupi baada ya kuachiwa huru.kutoka na mateso wengi walitoka ndani wakiwa hawaoni,wengine wakiwa kama punguani,wanaume wengi wakiwa wameuawa kiume.
Dikteta Nyerere alikosa kabisa Kipawa cha kuwavumilia watu waliotofautiana naye kifikra,au waliojaribu kumshauri tofauti na alivyoona yeye,hata akaitwa "Mzee Haambiliki".Wale aliowaogopa kuwa wanamzidi kiakili,au aliodhania ni tishio kwake kisiasa alitesa mpaka na familia zao,ndugu zao na hata rafiki zao! Miongoni mwa waliotofautiana na Nyerere ni hayati Edward Moringe Ole Sokoine,ambaye dikteta huyo hakukanusha alipotuhumiwa hadharani kuhusika na kifo chake katika mkutano mkubwa sana wa kisiasa Jangwani tarehe 23 January 1993.Wengine waliotofautiana naye hatimaye wakakutana na mauti ni Dk Mwanjisi,mchumi profesa Rweyemamu ,Jaji Mwakasendo na wengine wengi.
HAYATI OSCAR KAMBONA KATIKA KIELELEZO CHA UNYAMA WA NYERERE:
..............................
nitarudi.
Za kwako na ibilisi zinarandana sanaKwa kifupi Nyerere na Magufuli hulka zao zinafanana.
Mbona mazingaombwe nayaona hata leo kwenye runinga dunia ya kwanza wakionyesha, yana ubaya gani. Huna point kunywa maji ukalale ukue.Akatuletea wachawi shule za msingi watu fundishe mazingaombwe tuliosoma 1976-80s watakumbuka hili, akatufundisha kuichukia israel na kuikumbatia Waarabu, leo laana inatutafuna kila kona
Hilo liko wazi Tanzania ni nchi tulivu,lakini ukweli ni kwamba utulivu wa Watanzania ni kutokana na upumbavu wao wenyewe.Mnaamua kuchafua watu tu. Tanzania ndiyo nchi iliyo stable kuliko nchi zote za Afrika Mashariki na Kati. Amani yetu na utulivu ndivyo vinatufanya tuwe Kimbolton la majirani wakigombana kama DRC, Burundi, Uganda na hata Kenya.
Mchango wa Tanzania kwenye ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika kama Mozambique, Angola, Namibia, South Africa na Zimbabwe siyo wa ku underestimate.
Nchi hii ya Tanzania ni kati ya nchi 10 zenye uchumi mkubwa Afrika.
Sasa nashangaa vijana vichwa maji kama mtoa mada anaropoka tu anayoyataka ili kufurahisha genge. Ninaamini kama Nyerere asingekuwa mtu mwema hata yeye asingekuwa anaandika muda huu huo Utopolo wake
Ni bora ujadili nilicho andika kuliko kuniita majina ya ajabu kisa tu, nimeandika kile usicho taka kukisikia hii ndo Kazi ya kalamu siku zote.Nyerere atakuwa Mwenyeheri na kisha kutangazwa Mtakatifu na wala wewe pimbi huwezi kuzuia.
Andikeni vitabu vyenu lakini Wakatoliki wana sheria zao na mchakato wao. Akiwa ni mtakatifu ni wa madhehebu yao wala hakuhusu wewe na hivyo vitabu vyako.
Ndio hulka zao zinafanana ndio maana sasa hivi wapo Mbinguni wakifurahia utukufu wa Mungu.Kwa kifupi Nyerere na Magufuli hulka zao zinafanana.
JPM enzi za uhai wake alitamani kuwa kiongozi wa malaika siku moja uko mbinguni.Ndio hulka zao zinafanana ndio maana sasa hivi wapo Mbinguni wakifurahia utukufu wa Mungu.