Madhambi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Madhambi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Status
Not open for further replies.
Nyerere ni bonge ya kiongozi sema nyakati hazikua upande wake pia alikosa watu sahihi
Sera gani yake iliipatia nchi manufaa?,UPE ilifeli, siasa na kilimo ilifeli, vijiji vya ujamaa ilifeli, kujifanya kuwa na moto na nchi zingine wakati nchi yake ni masikini, imetuletea majanga makubwa!,kuna wakati kwenda Msumbiji ulihitaji visa!!
 
nan anawalipa kuwachafua mihimili ya taifa ? dini au siasa ziwe na mipaka , Ndio maana wazee walikataa ile 1995 kuruhusu vyama vingi , huu ujinga waliuona , leo hii mtu baada ya kupambana kuwaweka sw hawa ccmu wezi wa sasa , unashinda kuzivuruga pillars za nchi , Nyerer asingekuwa hivo uenda leo tusingekuwa hapa , tushaona makosa kibao ya viongoz wa Drc makosa yao yanaila Drc mpk leo , makosa ya kambona yapo wazi , huenda mnamshabikia kisa hamkuwa na ufaham enzi za uwepo wake na hii ni asili ya mtu mweusi kushabikia kitu asichokielewa vzr mpk siku akikielewa ndo huanza badili msimamo , Sera za Nyerere zililenga kuleta usawa miongon mwetu na wale wote walioenda kinyuma aliwadhibiti , leo hii we bibi unaeza nunua eneo ndan ya Dar ila wenzio wakikuyu hawawez fanya hivyo leo matajir waliishika nchi mapema
Leta hoja watu wasome alafu wataamua kuliko kuleta shutuma za kuchafuliwa navyo fahamu Mimi binadamu huwa na pande mbili hasi na chanya.

Ni vema uchukue wajibu wa kuleta mambo chanya ili wasomaji wachangui na kuamua upande.
 
Bado Dunia Kwa ujumla Ina Siri nzito sana . Haya ya Hayati ukizidisha na mambo ya Marais wote wa awali Duniani kote ndiyo unapata mjumuisho wa Siri ya Dunia hii . Mambo uyaonavyo sivyo yalivyo . Au Ukweli Unaodhani ndiyo Ukweli , siyo kabisa . KUNA SIRI KUBWA SANA NA NZITO MNO ILIYOCHINI YA MWAMVULI WA DINI NA SIASA .
 
Utakatifu wa mtu hautengenezwi na wanadamu! Anayejua utakatifu wa mtu ni Mungu mwenyewe! Ambaye anaona mioyo ya watu!
Anaweza kutangazwa kuwa Mtakatifu kumbe mara baada ya kufa yuko Jehenamu!
 
Na Hayati Mchungaji Christopher Mtikila.

[Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Democratic party]

JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWENYEWE HERI ?

Tulikuwa hatuamini kabisa kwamba kweli mlikuwa mnataka kumpa dikteta Julius Nyerere kwamba "mwenye heri",ile eti baadaye mmpe "utakatifu".Lakini baada ya kuona haukuwa mzaha,tunalazimika kuwashauri kwamba muachane kabisa na upuzi na kufuru hiyo,kwa sababu sisi tunaandaa kitabu muhimu sana kitakachosomwa na dunia nzima kwa kiingereza,kifaransa na Kiswahili,kinacho elezea kwa kina ushetanj wa mtu ambaye ninyi mmependa aitwe"mwenye heri". Democratic party (DP) tunajenga maadili mapya ya Taifa ya kuwa na hofu kwa mwenyezi Mungu,ndiyo maana tunawajibika hata katika suala hili.

Tumewajibika kuufahamisha Ulimwengu ukweli ufuatao kwa kifupi sana,ambao ambao ulipaswa kuzingatiwa kuhusu mtu huyu kabla ya kufikia kumvika sifa hiyo,isipokuwa kama mmeamua kujitengenezea "cult" ambayo kwa misingi ya haki ya uhuru wa kuabudu hampaswi kuingiliwa na mtu ,mradi hamvunji Sheria wala hamlazimishi wananchi wengine kushiriki katika cult yenu hiyo.Tunaamini kwamba cult hiyo imekuwa ikiimarishwa na wapambe wa huyo dikteta wanaojiita "Mwalimu Nyerere Foundation".

Kwani watu hao ambao wamekuwa wakichotewa hata mamilioni ya fedha ya walalahoi na kuchangisha mapema mengi ndani na nje ya nchi,hawafanyi Kazi yoyote ya kusaidia kuleta maendeleo au misaada ya kijamii.kwa vile wananeemeka kwa kujificha nyuma ya cult hii inawalazimu kuipambisha moto cult hiyo.

UKATILI WA NYERERE,NA JINSI ALIVYOJIJENGEA UMAARUFU.

Julius Kambarage Nyerere alijitengenezea yeye mwenyewe umaarufu wake,kutokana na roho ya kupenda kuabudiwa yaani ile iliyozuka hata ndani ya moyo wa Lucifer ambaye ni shetani ikapelekea kutupwa kwake chini.Nyerere ametumia kwa umakini sana udikteta uliokuwa katika damu yake .Ili kauli yake yeye tu ndiyo isikike katika taifa na iwe kama ya Mungu, dikteta huyo alifuta kabisa haki ya msingi ya uhuru wa maoni na kujieleza bila kuingiliwa,akapiga marufuki vyombo vya habari nchini na kubakiza vya serikali tu,kwa ajili ya kujisikiliza yeye peke yake kwa binadamu wote wa nchi hii.Binadamu yeyote aliyethubutu kusema au kushukiwa kwamba anawaza kinyume na mapenzi yake,aliangukiwa kinyama na nguvu ya dola kama haini.

ALIVYOUA ELIMU ILI ATAWALE WATANGANYIKA KAMA MIFUGO YAKE:

Ili kuwa Mungu wa taifa hili ,dikteta Nyerere alilazimika kuwatiisha watu wa nchi hii kwa kuwapofushwa kabisa kifikra mpaka tukawa kama mataahira,kwa kufuta elimu bora iliyotolewa awali na kubakiza kwa mfano kwa shule ya msingi ambazo alizikomeshea darasa la Saba ,masomo makuu yakawa Kiswahili,Siasa ya kuwapofusha kifikra na kuwafanya wamwabudu,na utamaduni au halaiiki ,walimu wakiwa mbumbumbu wa UPE.

Kwahiyo kila mwaka watoto takribani laki Saba wakawa wanaishia darasa la Saba na upofu huo,na hawa ndio sehemu kubwa ya Taifa letu Leo.Elimu aliifisha mpaka chuo kikuu na kuondoa hata umuhimu wa Lugha ya kiingereza,ili kuwatenga kabisa Watanganyika na Ulimwengu wa uhuru na maendeleo ya kifikra na teknolijia baada ya kuwapofusha.Vinginevyo kwa utajiri wa nchi yetu,leo kila mkoa ungekuwa na chuo kikuu na Tanganyika ingekuwa Ulimwengu wa kwanza kiuchumi.

ALIVYOBOBEA KATIKA NGUVU ZA KISHETANI:

Katika katawala watu wa nchi hii na kuwafanya wamtii na kumwogopa wakiwa kama mifugo yake, Nyerere alitumia sana nguvu za giza,zikiwa ni pamoja na shetani lake liitwalo "Murhunda" na dini ya huyo Mungu wake ya "Nyamurhunda".Mwenye ambao aliutumia kupovusha fikra za wananchi wote wa nchi hii ni kafara ya Nyamurhunda,na hata ninyi bilashaka mnajua kabisa! Nguvu za kuzimu na mashetani yake hakuacha nazo hata sekunde moja katika uhai wake,na alizibeba katika kifimbo chake.

Mbali na Nyamurhunda lake , dikteta huyo alijilimbikizia pia uchawi na mazindiko ya kila kabila nchini,kama alivyoshuhudiwa akifanyiwa hata Jakaya Kikwete katika maeneo ya mbali mbali safari hii.Tena dikteta huyo anakiri yeye mwenyewe katika Kanda zilizopigwa sana alipokufa na kurudi kuzimu milele,kwamba walifanya sana makafara ya uchawi huko Tanga na Bagamoyo,walikochinja mbuzi makaburini na kufanya waliyofanya.Isitoshe hata kiitwacho "Nembo ya taifa ni zindiko la Nyerere"!

Zindiko hili halina mjadala kwa vile limethibitishwa na Bibi yetu Khadija Kamba mwenyewe aonekanaye katika nembo hiyo,kwa njia ya magazeti ,Televisheni ya Taifa na Redio.Kuzindika kitu ni kukikabidhisha kwa mamlaka kuu ya kuzimu yaani Ibilisi,kwa maana kwamba Nyerere alikabidhusha nchi yetu kwa Ibilisi,yaani CCM na utawala kutoka kuzima au ni Ibilisi akiwa katika umbo la chama.

Sisi sote tunakumbuka vioja vya shetani vilivyo tawala kifo cha dikteta huyo,ikiwa ni pamoja na watu kufa wakati wa kutembezwa maiti yake,kwa sababu rahisi kabisa kwamba mashetani yake yalihitaji damu kwahiyo walalahoi wakafanyika kafara.kule alikozikwa kulitokea mauzauza mengi ya kishetani,ambayo vyombo vya habari viliripoti bayana kabisa na kumbukumbu zimehifadhiwa kwa ajili ya vizazi vyote vijavyo,vipate kuufahamu ushetani wa dikteta huyo aliyekuwa mwamba wa ushirikina duniani,kama alivyomsifu hata dada yake aliyeitwa Bi Magige kwamba "mizimu ya Nyerere ina nguvu kuliko serikali",na watu wa chama chake wanaotafuta utawala kishirikina,mpaka Leo hupiga ripoti kwenye Kaburi lake!

ALIVYOTUMIA DOLA KUFANIKISHA MALENGO YAKE YA KISHETANI:

Dikteta huyo alitumia pia vitisho na ukatilii wa kimya kimya ,vilivyowajengea hofu na woga na kuwafunga kabisa vinywa binadamu wote nchini,kwa kutumia mtandao wake mkali sana wa usalama wa Taifa au dola kwa jumla,ambao aliwafunza katika nchi zenye tawala za kikandamizaji,hasa za kikomonisti.Hawa aliwafunza kutesa watu vibaya sana kwa njia mbalimbali,na kuwaua kwa utaalamu ambao ilikuwa vigumu kuhusisha vifo vyao na yeye au serikali yake.

Nyerere alitesa watu wengi sana kizuizini miaka mingi sana bila kuwafikisha mbele ya sheria,wengi walikufa wakiwa kizuizini,ama muda mfupi baada ya kuachiwa huru.kutoka na mateso wengi walitoka ndani wakiwa hawaoni,wengine wakiwa kama punguani,wanaume wengi wakiwa wameuawa kiume.

Dikteta Nyerere alikosa kabisa Kipawa cha kuwavumilia watu waliotofautiana naye kifikra,au waliojaribu kumshauri tofauti na alivyoona yeye,hata akaitwa "Mzee Haambiliki".Wale aliowaogopa kuwa wanamzidi kiakili,au aliodhania ni tishio kwake kisiasa alitesa mpaka na familia zao,ndugu zao na hata rafiki zao! Miongoni mwa waliotofautiana na Nyerere ni hayati Edward Moringe Ole Sokoine,ambaye dikteta huyo hakukanusha alipotuhumiwa hadharani kuhusika na kifo chake katika mkutano mkubwa sana wa kisiasa Jangwani tarehe 23 January 1993.Wengine waliotofautiana naye hatimaye wakakutana na mauti ni Dk Mwanjisi,mchumi profesa Rweyemamu ,Jaji Mwakasendo na wengine wengi.

HAYATI OSCAR KAMBONA KATIKA KIELELEZO CHA UNYAMA WA NYERERE:

..............................

nitarudi.

Usisahau na kuandika aliachia nchi kwa hiyari

pia usisahau kusema hakua anajilimbikizia mali

na usisahau kusema kuna tofauti kati ya mtoto wa kikwete na makongolo!!


“If there is no enemy within the enemy outside cannot do harm”
 
Na Hayati Mchungaji Christopher Mtikila.

[Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Democratic party]

JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWENYEWE HERI ?

Tulikuwa hatuamini kabisa kwamba kweli mlikuwa mnataka kumpa dikteta Julius Nyerere kwamba "mwenye heri",ile eti baadaye mmpe "utakatifu".Lakini baada ya kuona haukuwa mzaha,tunalazimika kuwashauri kwamba muachane kabisa na upuzi na kufuru hiyo,kwa sababu sisi tunaandaa kitabu muhimu sana kitakachosomwa na dunia nzima kwa kiingereza,kifaransa na Kiswahili,kinacho elezea kwa kina ushetanj wa mtu ambaye ninyi mmependa aitwe"mwenye heri". Democratic party (DP) tunajenga maadili mapya ya Taifa ya kuwa na hofu kwa mwenyezi Mungu,ndiyo maana tunawajibika hata katika suala hili.

Tumewajibika kuufahamisha Ulimwengu ukweli ufuatao kwa kifupi sana,ambao ambao ulipaswa kuzingatiwa kuhusu mtu huyu kabla ya kufikia kumvika sifa hiyo,isipokuwa kama mmeamua kujitengenezea "cult" ambayo kwa misingi ya haki ya uhuru wa kuabudu hampaswi kuingiliwa na mtu ,mradi hamvunji Sheria wala hamlazimishi wananchi wengine kushiriki katika cult yenu hiyo.Tunaamini kwamba cult hiyo imekuwa ikiimarishwa na wapambe wa huyo dikteta wanaojiita "Mwalimu Nyerere Foundation".

Kwani watu hao ambao wamekuwa wakichotewa hata mamilioni ya fedha ya walalahoi na kuchangisha mapema mengi ndani na nje ya nchi,hawafanyi Kazi yoyote ya kusaidia kuleta maendeleo au misaada ya kijamii.kwa vile wananeemeka kwa kujificha nyuma ya cult hii inawalazimu kuipambisha moto cult hiyo.

UKATILI WA NYERERE,NA JINSI ALIVYOJIJENGEA UMAARUFU.

Julius Kambarage Nyerere alijitengenezea yeye mwenyewe umaarufu wake,kutokana na roho ya kupenda kuabudiwa yaani ile iliyozuka hata ndani ya moyo wa Lucifer ambaye ni shetani ikapelekea kutupwa kwake chini.Nyerere ametumia kwa umakini sana udikteta uliokuwa katika damu yake .Ili kauli yake yeye tu ndiyo isikike katika taifa na iwe kama ya Mungu, dikteta huyo alifuta kabisa haki ya msingi ya uhuru wa maoni na kujieleza bila kuingiliwa,akapiga marufuki vyombo vya habari nchini na kubakiza vya serikali tu,kwa ajili ya kujisikiliza yeye peke yake kwa binadamu wote wa nchi hii.Binadamu yeyote aliyethubutu kusema au kushukiwa kwamba anawaza kinyume na mapenzi yake,aliangukiwa kinyama na nguvu ya dola kama haini.

ALIVYOUA ELIMU ILI ATAWALE WATANGANYIKA KAMA MIFUGO YAKE:

Ili kuwa Mungu wa taifa hili ,dikteta Nyerere alilazimika kuwatiisha watu wa nchi hii kwa kuwapofushwa kabisa kifikra mpaka tukawa kama mataahira,kwa kufuta elimu bora iliyotolewa awali na kubakiza kwa mfano kwa shule ya msingi ambazo alizikomeshea darasa la Saba ,masomo makuu yakawa Kiswahili,Siasa ya kuwapofusha kifikra na kuwafanya wamwabudu,na utamaduni au halaiiki ,walimu wakiwa mbumbumbu wa UPE.

Kwahiyo kila mwaka watoto takribani laki Saba wakawa wanaishia darasa la Saba na upofu huo,na hawa ndio sehemu kubwa ya Taifa letu Leo.Elimu aliifisha mpaka chuo kikuu na kuondoa hata umuhimu wa Lugha ya kiingereza,ili kuwatenga kabisa Watanganyika na Ulimwengu wa uhuru na maendeleo ya kifikra na teknolijia baada ya kuwapofusha.Vinginevyo kwa utajiri wa nchi yetu,leo kila mkoa ungekuwa na chuo kikuu na Tanganyika ingekuwa Ulimwengu wa kwanza kiuchumi.

ALIVYOBOBEA KATIKA NGUVU ZA KISHETANI:

Katika katawala watu wa nchi hii na kuwafanya wamtii na kumwogopa wakiwa kama mifugo yake, Nyerere alitumia sana nguvu za giza,zikiwa ni pamoja na shetani lake liitwalo "Murhunda" na dini ya huyo Mungu wake ya "Nyamurhunda".Mwenye ambao aliutumia kupovusha fikra za wananchi wote wa nchi hii ni kafara ya Nyamurhunda,na hata ninyi bilashaka mnajua kabisa! Nguvu za kuzimu na mashetani yake hakuacha nazo hata sekunde moja katika uhai wake,na alizibeba katika kifimbo chake.

Mbali na Nyamurhunda lake , dikteta huyo alijilimbikizia pia uchawi na mazindiko ya kila kabila nchini,kama alivyoshuhudiwa akifanyiwa hata Jakaya Kikwete katika maeneo ya mbali mbali safari hii.Tena dikteta huyo anakiri yeye mwenyewe katika Kanda zilizopigwa sana alipokufa na kurudi kuzimu milele,kwamba walifanya sana makafara ya uchawi huko Tanga na Bagamoyo,walikochinja mbuzi makaburini na kufanya waliyofanya.Isitoshe hata kiitwacho "Nembo ya taifa ni zindiko la Nyerere"!

Zindiko hili halina mjadala kwa vile limethibitishwa na Bibi yetu Khadija Kamba mwenyewe aonekanaye katika nembo hiyo,kwa njia ya magazeti ,Televisheni ya Taifa na Redio.Kuzindika kitu ni kukikabidhisha kwa mamlaka kuu ya kuzimu yaani Ibilisi,kwa maana kwamba Nyerere alikabidhusha nchi yetu kwa Ibilisi,yaani CCM na utawala kutoka kuzima au ni Ibilisi akiwa katika umbo la chama.

Sisi sote tunakumbuka vioja vya shetani vilivyo tawala kifo cha dikteta huyo,ikiwa ni pamoja na watu kufa wakati wa kutembezwa maiti yake,kwa sababu rahisi kabisa kwamba mashetani yake yalihitaji damu kwahiyo walalahoi wakafanyika kafara.kule alikozikwa kulitokea mauzauza mengi ya kishetani,ambayo vyombo vya habari viliripoti bayana kabisa na kumbukumbu zimehifadhiwa kwa ajili ya vizazi vyote vijavyo,vipate kuufahamu ushetani wa dikteta huyo aliyekuwa mwamba wa ushirikina duniani,kama alivyomsifu hata dada yake aliyeitwa Bi Magige kwamba "mizimu ya Nyerere ina nguvu kuliko serikali",na watu wa chama chake wanaotafuta utawala kishirikina,mpaka Leo hupiga ripoti kwenye Kaburi lake!

ALIVYOTUMIA DOLA KUFANIKISHA MALENGO YAKE YA KISHETANI:

Dikteta huyo alitumia pia vitisho na ukatilii wa kimya kimya ,vilivyowajengea hofu na woga na kuwafunga kabisa vinywa binadamu wote nchini,kwa kutumia mtandao wake mkali sana wa usalama wa Taifa au dola kwa jumla,ambao aliwafunza katika nchi zenye tawala za kikandamizaji,hasa za kikomonisti.Hawa aliwafunza kutesa watu vibaya sana kwa njia mbalimbali,na kuwaua kwa utaalamu ambao ilikuwa vigumu kuhusisha vifo vyao na yeye au serikali yake.

Nyerere alitesa watu wengi sana kizuizini miaka mingi sana bila kuwafikisha mbele ya sheria,wengi walikufa wakiwa kizuizini,ama muda mfupi baada ya kuachiwa huru.kutoka na mateso wengi walitoka ndani wakiwa hawaoni,wengine wakiwa kama punguani,wanaume wengi wakiwa wameuawa kiume.

Dikteta Nyerere alikosa kabisa Kipawa cha kuwavumilia watu waliotofautiana naye kifikra,au waliojaribu kumshauri tofauti na alivyoona yeye,hata akaitwa "Mzee Haambiliki".Wale aliowaogopa kuwa wanamzidi kiakili,au aliodhania ni tishio kwake kisiasa alitesa mpaka na familia zao,ndugu zao na hata rafiki zao! Miongoni mwa waliotofautiana na Nyerere ni hayati Edward Moringe Ole Sokoine,ambaye dikteta huyo hakukanusha alipotuhumiwa hadharani kuhusika na kifo chake katika mkutano mkubwa sana wa kisiasa Jangwani tarehe 23 January 1993.Wengine waliotofautiana naye hatimaye wakakutana na mauti ni Dk Mwanjisi,mchumi profesa Rweyemamu ,Jaji Mwakasendo na wengine wengi.

HAYATI OSCAR KAMBONA KATIKA KIELELEZO CHA UNYAMA WA NYERERE:

..............................

nitarudi.
Sawa.Tuandikie sasa madhambi yako wewe.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Na Hayati Mchungaji Christopher Mtikila.

[Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Democratic party]

JULIUS KAMBARAGE NYERERE MWENYEWE HERI ?

Tulikuwa hatuamini kabisa kwamba kweli mlikuwa mnataka kumpa dikteta Julius Nyerere kwamba "mwenye heri",ile eti baadaye mmpe "utakatifu".Lakini baada ya kuona haukuwa mzaha,tunalazimika kuwashauri kwamba muachane kabisa na upuzi na kufuru hiyo,kwa sababu sisi tunaandaa kitabu muhimu sana kitakachosomwa na dunia nzima kwa kiingereza,kifaransa na Kiswahili,kinacho elezea kwa kina ushetanj wa mtu ambaye ninyi mmependa aitwe"mwenye heri". Democratic party (DP) tunajenga maadili mapya ya Taifa ya kuwa na hofu kwa mwenyezi Mungu,ndiyo maana tunawajibika hata katika suala hili.

Tumewajibika kuufahamisha Ulimwengu ukweli ufuatao kwa kifupi sana,ambao ambao ulipaswa kuzingatiwa kuhusu mtu huyu kabla ya kufikia kumvika sifa hiyo,isipokuwa kama mmeamua kujitengenezea "cult" ambayo kwa misingi ya haki ya uhuru wa kuabudu hampaswi kuingiliwa na mtu ,mradi hamvunji Sheria wala hamlazimishi wananchi wengine kushiriki katika cult yenu hiyo.Tunaamini kwamba cult hiyo imekuwa ikiimarishwa na wapambe wa huyo dikteta wanaojiita "Mwalimu Nyerere Foundation".

Kwani watu hao ambao wamekuwa wakichotewa hata mamilioni ya fedha ya walalahoi na kuchangisha mapema mengi ndani na nje ya nchi,hawafanyi Kazi yoyote ya kusaidia kuleta maendeleo au misaada ya kijamii.kwa vile wananeemeka kwa kujificha nyuma ya cult hii inawalazimu kuipambisha moto cult hiyo.

UKATILI WA NYERERE,NA JINSI ALIVYOJIJENGEA UMAARUFU.

Julius Kambarage Nyerere alijitengenezea yeye mwenyewe umaarufu wake,kutokana na roho ya kupenda kuabudiwa yaani ile iliyozuka hata ndani ya moyo wa Lucifer ambaye ni shetani ikapelekea kutupwa kwake chini.Nyerere ametumia kwa umakini sana udikteta uliokuwa katika damu yake .Ili kauli yake yeye tu ndiyo isikike katika taifa na iwe kama ya Mungu, dikteta huyo alifuta kabisa haki ya msingi ya uhuru wa maoni na kujieleza bila kuingiliwa,akapiga marufuki vyombo vya habari nchini na kubakiza vya serikali tu,kwa ajili ya kujisikiliza yeye peke yake kwa binadamu wote wa nchi hii.Binadamu yeyote aliyethubutu kusema au kushukiwa kwamba anawaza kinyume na mapenzi yake,aliangukiwa kinyama na nguvu ya dola kama haini.

ALIVYOUA ELIMU ILI ATAWALE WATANGANYIKA KAMA MIFUGO YAKE:

Ili kuwa Mungu wa taifa hili ,dikteta Nyerere alilazimika kuwatiisha watu wa nchi hii kwa kuwapofushwa kabisa kifikra mpaka tukawa kama mataahira,kwa kufuta elimu bora iliyotolewa awali na kubakiza kwa mfano kwa shule ya msingi ambazo alizikomeshea darasa la Saba ,masomo makuu yakawa Kiswahili,Siasa ya kuwapofusha kifikra na kuwafanya wamwabudu,na utamaduni au halaiiki ,walimu wakiwa mbumbumbu wa UPE.

Kwahiyo kila mwaka watoto takribani laki Saba wakawa wanaishia darasa la Saba na upofu huo,na hawa ndio sehemu kubwa ya Taifa letu Leo.Elimu aliifisha mpaka chuo kikuu na kuondoa hata umuhimu wa Lugha ya kiingereza,ili kuwatenga kabisa Watanganyika na Ulimwengu wa uhuru na maendeleo ya kifikra na teknolijia baada ya kuwapofusha.Vinginevyo kwa utajiri wa nchi yetu,leo kila mkoa ungekuwa na chuo kikuu na Tanganyika ingekuwa Ulimwengu wa kwanza kiuchumi.

ALIVYOBOBEA KATIKA NGUVU ZA KISHETANI:

Katika katawala watu wa nchi hii na kuwafanya wamtii na kumwogopa wakiwa kama mifugo yake, Nyerere alitumia sana nguvu za giza,zikiwa ni pamoja na shetani lake liitwalo "Murhunda" na dini ya huyo Mungu wake ya "Nyamurhunda".Mwenye ambao aliutumia kupovusha fikra za wananchi wote wa nchi hii ni kafara ya Nyamurhunda,na hata ninyi bilashaka mnajua kabisa! Nguvu za kuzimu na mashetani yake hakuacha nazo hata sekunde moja katika uhai wake,na alizibeba katika kifimbo chake.

Mbali na Nyamurhunda lake , dikteta huyo alijilimbikizia pia uchawi na mazindiko ya kila kabila nchini,kama alivyoshuhudiwa akifanyiwa hata Jakaya Kikwete katika maeneo ya mbali mbali safari hii.Tena dikteta huyo anakiri yeye mwenyewe katika Kanda zilizopigwa sana alipokufa na kurudi kuzimu milele,kwamba walifanya sana makafara ya uchawi huko Tanga na Bagamoyo,walikochinja mbuzi makaburini na kufanya waliyofanya.Isitoshe hata kiitwacho "Nembo ya taifa ni zindiko la Nyerere"!

Zindiko hili halina mjadala kwa vile limethibitishwa na Bibi yetu Khadija Kamba mwenyewe aonekanaye katika nembo hiyo,kwa njia ya magazeti ,Televisheni ya Taifa na Redio.Kuzindika kitu ni kukikabidhisha kwa mamlaka kuu ya kuzimu yaani Ibilisi,kwa maana kwamba Nyerere alikabidhusha nchi yetu kwa Ibilisi,yaani CCM na utawala kutoka kuzima au ni Ibilisi akiwa katika umbo la chama.

Sisi sote tunakumbuka vioja vya shetani vilivyo tawala kifo cha dikteta huyo,ikiwa ni pamoja na watu kufa wakati wa kutembezwa maiti yake,kwa sababu rahisi kabisa kwamba mashetani yake yalihitaji damu kwahiyo walalahoi wakafanyika kafara.kule alikozikwa kulitokea mauzauza mengi ya kishetani,ambayo vyombo vya habari viliripoti bayana kabisa na kumbukumbu zimehifadhiwa kwa ajili ya vizazi vyote vijavyo,vipate kuufahamu ushetani wa dikteta huyo aliyekuwa mwamba wa ushirikina duniani,kama alivyomsifu hata dada yake aliyeitwa Bi Magige kwamba "mizimu ya Nyerere ina nguvu kuliko serikali",na watu wa chama chake wanaotafuta utawala kishirikina,mpaka Leo hupiga ripoti kwenye Kaburi lake!

ALIVYOTUMIA DOLA KUFANIKISHA MALENGO YAKE YA KISHETANI:

Dikteta huyo alitumia pia vitisho na ukatilii wa kimya kimya ,vilivyowajengea hofu na woga na kuwafunga kabisa vinywa binadamu wote nchini,kwa kutumia mtandao wake mkali sana wa usalama wa Taifa au dola kwa jumla,ambao aliwafunza katika nchi zenye tawala za kikandamizaji,hasa za kikomonisti.Hawa aliwafunza kutesa watu vibaya sana kwa njia mbalimbali,na kuwaua kwa utaalamu ambao ilikuwa vigumu kuhusisha vifo vyao na yeye au serikali yake.

Nyerere alitesa watu wengi sana kizuizini miaka mingi sana bila kuwafikisha mbele ya sheria,wengi walikufa wakiwa kizuizini,ama muda mfupi baada ya kuachiwa huru.kutoka na mateso wengi walitoka ndani wakiwa hawaoni,wengine wakiwa kama punguani,wanaume wengi wakiwa wameuawa kiume.

Dikteta Nyerere alikosa kabisa Kipawa cha kuwavumilia watu waliotofautiana naye kifikra,au waliojaribu kumshauri tofauti na alivyoona yeye,hata akaitwa "Mzee Haambiliki".Wale aliowaogopa kuwa wanamzidi kiakili,au aliodhania ni tishio kwake kisiasa alitesa mpaka na familia zao,ndugu zao na hata rafiki zao! Miongoni mwa waliotofautiana na Nyerere ni hayati Edward Moringe Ole Sokoine,ambaye dikteta huyo hakukanusha alipotuhumiwa hadharani kuhusika na kifo chake katika mkutano mkubwa sana wa kisiasa Jangwani tarehe 23 January 1993.Wengine waliotofautiana naye hatimaye wakakutana na mauti ni Dk Mwanjisi,mchumi profesa Rweyemamu ,Jaji Mwakasendo na wengine wengi.

HAYATI OSCAR KAMBONA KATIKA KIELELEZO CHA UNYAMA WA NYERERE:

..............................

nitarudi.
Nyerere atakuwa Mwenyeheri na kisha kutangazwa Mtakatifu na wala wewe pimbi huwezi kuzuia.

Andikeni vitabu vyenu lakini Wakatoliki wana sheria zao na mchakato wao. Akiwa ni mtakatifu ni wa madhehebu yao wala hakuhusu wewe na hivyo vitabu vyako.
 
Kuendelea kumlaumu Nyerere aliyeondoka madarakani over 30 yrs ago ni kutafuta cheap excuses na kuwatukana marais wengine. Marais waliomfuata walifanya nini? Walitaka Nyerere afanye kila kitu?

Kumlaumu Nyerere ni sawa na kumlaumu babu yako for your shortcomings. Baba yako had a chance na wewe ushakua mtu mzima to straighten up bado upo pale pale. Hapo mjinga ni wewe sio babu yako.
 
Akatuletea wachawi shule za msingi watu fundishe mazingaombwe tuliosoma 1976-80s watakumbuka hili, akatufundisha kuichukia israel na kuikumbatia Waarabu, leo laana inatutafuna kila kona
Mbona mnaandika uwongo vijana? Ubalozi wa Palestina ulikuwapo nchini toka miaka ya 1960s, lakini wa Israel ulifungwa na umekuja kufunguliwa na Magufuli mwaka 2017 au 18. Mnadanganya ili kumchafua Nyerere? Nyambaaaf
 
Sera gani yake iliipatia nchi manufaa?,UPE ilifeli, siasa na kilimo ilifeli, vijiji vya ujamaa ilifeli, kujifanya kuwa na moto na nchi zingine wakati nchi yake ni masikini, imetuletea majanga makubwa!,kuna wakati kwenda Msumbiji ulihitaji visa!!
Sera gani iliwahi fanikiwa nchi hiii tangu butiama era hadi kizimkazi era?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom