Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 286
- 322
Habarini wakuu poleni na michakato ya maisha.
Moja kwa moja niende kwenu nyie ma actors/actress wa bongo pamoja na directors,producer's mnakwama wapi ndugu zanguni ? Je tatizo ni nini? Ni scripts? Au budget au production facilities kwanini movie zenu zinakosa mvuto? Yani badala ya watazamaji ku enjoy watu wanakereka !!! Ni kwamba mnashindwa hata kuiga kwa wenzetu.
Kwanza tumechoka dhamira zenu kwenye muvi asilimia tisini ni uchawi,mapenzi.Pili waigizaji wengi hawawezi kuvaa uhusika kabisa yani mtu anaoneka kabisa hawezi ku act ana force,Jarbuni kutafuta waigizaji competent na sio kila muhusika atafaa kwa kila kipande alafu scene moja lazma irudiwe hata miezi ilimradi muigizaji aweze ku master.
Alafu jaribuni kupitia script zenu nyingi huwa za hovyo yani mnashindwa kuwa wabunifu mbona wenzenu wa philipino tunaona tamthiliya mazingara na bajeti ya kawaida ila zinavutia sana mfano sijui The Promise, MaraCrala na nyingine nyingi.
Kigezo cha bajeti sio kweli ukweli ni kwamba script zenu mbovu na wengi wenu hamuwezi kuvaa uhusika. Mfano nilicheki muvi moja ya bongo muvii eti kipindi alikua ni mtoto ni lulu amekuwa mkubwa eti ni Johari watu hata hawafanani mnafeli na mnatukera watazamaji.
Moja kwa moja niende kwenu nyie ma actors/actress wa bongo pamoja na directors,producer's mnakwama wapi ndugu zanguni ? Je tatizo ni nini? Ni scripts? Au budget au production facilities kwanini movie zenu zinakosa mvuto? Yani badala ya watazamaji ku enjoy watu wanakereka !!! Ni kwamba mnashindwa hata kuiga kwa wenzetu.
Kwanza tumechoka dhamira zenu kwenye muvi asilimia tisini ni uchawi,mapenzi.Pili waigizaji wengi hawawezi kuvaa uhusika kabisa yani mtu anaoneka kabisa hawezi ku act ana force,Jarbuni kutafuta waigizaji competent na sio kila muhusika atafaa kwa kila kipande alafu scene moja lazma irudiwe hata miezi ilimradi muigizaji aweze ku master.
Alafu jaribuni kupitia script zenu nyingi huwa za hovyo yani mnashindwa kuwa wabunifu mbona wenzenu wa philipino tunaona tamthiliya mazingara na bajeti ya kawaida ila zinavutia sana mfano sijui The Promise, MaraCrala na nyingine nyingi.
Kigezo cha bajeti sio kweli ukweli ni kwamba script zenu mbovu na wengi wenu hamuwezi kuvaa uhusika. Mfano nilicheki muvi moja ya bongo muvii eti kipindi alikua ni mtoto ni lulu amekuwa mkubwa eti ni Johari watu hata hawafanani mnafeli na mnatukera watazamaji.
