Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Naomba kujibiwa hili swali, hv ni kwani hakuna hata siku moja mnatoka nyumban kwenu mapema kwenda ofisini?
Kwanini kila siku mtoke kwa kuchelewa halafu njiani ni kukimbia, wrong overtake na kutoafuata vibao vya speed?
Hivi ninyi ambao ni mabosi ni kwanini mnafurahia mwendokasi ile hali mnahatarisha maisha yenu? Mnaweka uhai wenu rehani!
Halafu cha ajabu eneo lolote utakalokutana na gari la serikali, basi huwa lipo mwendo kasi ukiwauliza wanasema wamechelewa hivyo wanawahi
Kwanini kila siku mtoke kwa kuchelewa halafu njiani ni kukimbia, wrong overtake na kutoafuata vibao vya speed?
Hivi ninyi ambao ni mabosi ni kwanini mnafurahia mwendokasi ile hali mnahatarisha maisha yenu? Mnaweka uhai wenu rehani!
Halafu cha ajabu eneo lolote utakalokutana na gari la serikali, basi huwa lipo mwendo kasi ukiwauliza wanasema wamechelewa hivyo wanawahi