Unapoendesha gari kwa spidi zaidi ya kiwango kinachokubalika na mamlaka kisha ukafika safari yako salama basi utajiaminisha kua wewe ni dereva hodari na wanaosema speed inaua ni waongo tu!
But siku ukipata ajali na ukajikuta huna miguu yote miwili hapo ndipo utakapotambua kua kumbe kweli speed ni hatari But itakua too late!
So,kua muangalifu sana usije juta majuto ya mjukuu.