Madereva Mwendokasi wameota mapembe ya chuma

Madereva Mwendokasi wameota mapembe ya chuma

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Jamani ni haki kweli mtu umelipa Tsh 650/=then mnasubiri gari kituoni kwa muda lakini baadae mnaona gari inakuja mnajiandaa kujiweka tayari ghafla linapokaribia dereva anaongeza spidi anaamua kupitiliza kituo na kuwaacheni midomo wazi!..cha ajabu hilo basi lipo na watu kumi tu ,tupu kabisa!sijui nini kimewakuta hawa ndugu?
Jioni pale kituo cha Gerezani wasafiri mmerundikana mkisubiri usafiri hasa wa Kimara/Mbezi gari zingine zimepark pembeni kabisa madereva wanapiga story nyie wasafiri mnazidi kurundikana...basi hata hapo mnaweza shangaa dereva mmoja anaingia ktk gari anaondoja peke yake bila abiria tena kwa mbwembwe na kwa speed kali!
Tunaomba wahusika kama ni Tamisemi tuondoleeni usumbufu tuupatao kila siku,,nauli tunayotoa ni kubwa basi ilingane na huduma tunayostahili ikibidi na magari yaongezwe njia zote,maana mpaka sasa njia iliyofanikiwa ni moja tu ya gerezani=muhimbili.
Tunaomba tutendewe haki,madereva waache kutunyanyasa vituoni ikibidi wawe na msimamizi wao atakayekua anawa monitor muda wote.
 
Ndio maana tunalalamika kila siku iweje makampuni ya wahindi yanafanikiwa kila siku, mtajiuliza kwa nini Dk mengi alijaza wahindi kwenye management ya kampuni zake yote ni kwa sababu wahindi wako bright sana na sio wahindi tu , watu weupe biashara zao kufa ni ngumu sababu wanajali wateja wao

Wabongo kujiendesha ni ngumu maana tunaleana ndio maana hamna nidham ya kazi, Hiyo UDART wangekuwa wanatimua wafanyakazi wasio na nidham kwa wateja heshima ingekuwepo ila kwa sababu wanaleana usitegemee dereva atakuwa na adabu, kampuni nzima wamejazana mapumba tu lazima ife,
 
Ndio maana tunalalamika kila siku iweje makampuni ya wahindi yanafanikiwa kila siku, mtajiuliza kwa nini Dk mengi alijaza wahindi kwenye management ya kampuni zake yote ni kwa sababu wahindi wako bright sana na sio wahindi tu , watu weupe biashara zao kufa ni ngumu sababu wanajali wateja wao

Wabongo kujiendesha ni ngumu maana tunaleana ndio maana hamna nidham ya kazi, Hiyo UDART wangekuwa wanatimua wafanyakazi wasio na nidham kwa wateja heshima ingekuwepo ila kwa sababu wanaleana usitegemee dereva atakuwa na adabu, kampuni nzima wamejazana mapumba tu lazima ife,
Watawafukuzaje wkt mishahara yenyewe kwa madereva ni mpk wagome?

Huwezi kupata wafanyakazi competent wkt co. Yenyewe ni hovyo hovyo.
 
We jamaa kuna baadhi ya mwendokasi ni Express kwahiyo usitegemee kusimama simama hata kama ina mtu mmoja.
 
Sasa wale jamaa hawalioni hilo?si wachukue funguo au wanasubiri command prompt?
 
Jamani ni haki kweli mtu umelipa Tsh 650/=then mnasubiri gari kituoni kwa muda lakini baadae mnaona gari inakuja mnajiandaa kujiweka tayari ghafla linapokaribia dereva anaongeza spidi anaamua kupitiliza kituo na kuwaacheni midomo wazi!..cha ajabu hilo basi lipo na watu kumi tu ,tupu kabisa!sijui nini kimewakuta hawa ndugu?
Jioni pale kituo cha Gerezani wasafiri mmerundikana mkisubiri usafiri hasa wa Kimara/Mbezi gari zingine zimepark pembeni kabisa madereva wanapiga story nyie wasafiri mnazidi kurundikana...basi hata hapo mnaweza shangaa dereva mmoja anaingia ktk gari anaondoja peke yake bila abiria tena kwa mbwembwe na kwa speed kali!
Tunaomba wahusika kama ni Tamisemi tuondoleeni usumbufu tuupatao kila siku,,nauli tunayotoa ni kubwa basi ilingane na huduma tunayostahili ikibidi na magari yaongezwe njia zote,maana mpaka sasa njia iliyofanikiwa ni moja tu ya gerezani=muhimbili.
Tunaomba tutendewe haki,madereva waache kutunyanyasa vituoni ikibidi wawe na msimamizi wao atakayekua anawa monitor muda wote.
Hapo ndipo utamuelewa aliyesema nunua gari kabla ya kujenga Nyumba.
 
Hii Kampuni imejaza madereva daladala wenye hulka za kihuni kwa sababu ya mishahara ya hovyo
 
We jamaa kuna baadhi ya mwendokasi ni Express kwahiyo usitegemee kusimama simama hata kama ina mtu mmoja.
Kila siku ndio usafiri wetu huo express zinajulikana na kibao kinasoma...ila kiburi cha hawa madereva kimefikia pabaya sana..jana saa nne usiku zimetupita gari za kuja gerezani pale kituo cha usalama sisi tukisubiri baadae ikasimama moja tukaingia...tulivyofika kituo cha fire akasimamia sehemu ya kituo cha kivukoni maana taa zilizuia gari ...taa iliporuhusu jamaa akaondoa gari bila kujali kuwa walikuwepo watu wengi pale waliotaka kwenda gerezani...jamaa akawaacha abiria kibao pale wakabaki kushangaa.
 
Ndio maana tunalalamika kila siku iweje makampuni ya wahindi yanafanikiwa kila siku, mtajiuliza kwa nini Dk mengi alijaza wahindi kwenye management ya kampuni zake yote ni kwa sababu wahindi wako bright sana na sio wahindi tu , watu weupe biashara zao kufa ni ngumu sababu wanajali wateja wao
Wabongo kujiendesha ni ngumu maana tunaleana ndio maana hamna nidham ya kazi, Hiyo UDART wangekuwa wanatimua wafanyakazi wasio na nidham kwa wateja heshima ingekuwepo ila kwa sababu wanaleana usitegemee dereva atakuwa na adabu, kampuni nzima wamejazana mapumba tu lazima ife,
Kwa nn wasiweke wahindi au wazungu kwenye management systems zao maana naona wabongo tunafeli kwenye suala la management system.
 
Jamani ni haki kweli mtu umelipa Tsh 650/=then mnasubiri gari kituoni kwa muda lakini baadae mnaona gari inakuja mnajiandaa kujiweka tayari ghafla linapokaribia dereva anaongeza spidi anaamua kupitiliza kituo na kuwaacheni midomo wazi!..cha ajabu hilo basi lipo na watu kumi tu ,tupu kabisa!sijui nini kimewakuta hawa ndugu?
Jioni pale kituo cha Gerezani wasafiri mmerundikana mkisubiri usafiri hasa wa Kimara/Mbezi gari zingine zimepark pembeni kabisa madereva wanapiga story nyie wasafiri mnazidi kurundikana...basi hata hapo mnaweza shangaa dereva mmoja anaingia ktk gari anaondoja peke yake bila abiria tena kwa mbwembwe na kwa speed kali!
Tunaomba wahusika kama ni Tamisemi tuondoleeni usumbufu tuupatao kila siku,,nauli tunayotoa ni kubwa basi ilingane na huduma tunayostahili ikibidi na magari yaongezwe njia zote,maana mpaka sasa njia iliyofanikiwa ni moja tu ya gerezani=muhimbili.
Tunaomba tutendewe haki,madereva waache kutunyanyasa vituoni ikibidi wawe na msimamizi wao atakayekua anawa monitor muda wote.
MATAGA 110% hiyo yote ni serikali ya ccm. si mliichagua, endeleeni nayo mpaka kieleweke
 
Wasiwasi wangu kama hiki ki kampuni cha mabasi kwa miaka michache tu kimekuwa hivi, vipi Air Tanzania mpya na reli mpya ya SGR?

Tusije tukaziua tena.
 
Back
Top Bottom