Kama unaenda chanika kupitia mbagala mbande na kimejengwa tayari alafu mkuu kama hujui me si bodaboda ila ni mjasiriamali mdogo mdogo ivyo nilitaka nitumie katika shughuli zangu uwezo wa kukupa hata elfu ishirini kwa siku ninao ila ntakuwa nakupa kwa ujumla.
Ko bila kujali alama za hcho chet ama?Fikiria mtu humjui, unawezaje kumkabidhi chombo bila mdhamini. Hivyo cheti ni dhamana kwani mtu hataweza kukubali kupoteza cheti kisa boda boda
Kila kitu kipo kisheria wewe njoo huku. Upewe utaratibu. Hayo maswali utayaulizia huku.
Wanawake tunaruhusiwa ku-apply?Habari wakuu.
Ninapiki piki tatu, nahitaji vijana watatu waadilifu wa kuziendesha. Boxer per day 8000/=, haugue per day 7000/=
Dereve anapaswa awe mkazi wa Dar.
Dereve unapaswa ulete kila siku hesabu na ukirusha siku mbili mfululizo utanyang'anywa pikipiki.
Dereva utaacha cheti chako cha kidato cha nne/sita kama mdhamini wako upewapo pikipiki.
Maana yake kama huna cheti usijihangaishe kuomba.
Kama upo tayari njoo Pm.
Watakuachia cheti wasepe na pikipikiHabari wakuu.
Ninapiki piki tatu, nahitaji vijana watatu waadilifu wa kuziendesha. Boxer per day 8000/=, haugue per day 7000/=
Dereve anapaswa awe mkazi wa Dar.
Dereve unapaswa ulete kila siku hesabu na ukirusha siku mbili mfululizo utanyang'anywa pikipiki.
Dereva utaacha cheti chako cha kidato cha nne/sita kama mdhamini wako upewapo pikipiki.
Maana yake kama huna cheti usijihangaishe kuomba.
Kama upo tayari njoo Pm.

Kama ni cheti cha division four mtu si analala mbele tu na pikipiki, anakuachia chetiFikiria mtu humjui, unawezaje kumkabidhi chombo bila mdhamini. Hivyo cheti ni dhamana kwani mtu hataweza kukubali kupoteza cheti kisa boda boda
