Madereva 3 wa bodaboda wanahitajika

Madereva 3 wa bodaboda wanahitajika

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,336
Reaction score
10,895
Habari wakuu.

Ninapiki piki tatu, nahitaji vijana watatu waadilifu wa kuziendesha. Boxer per day 8000/=, haugue per day 7000/=
Dereve anapaswa awe mkazi wa Dar.

Dereve unapaswa ulete kila siku hesabu na ukirusha siku mbili mfululizo utanyang'anywa pikipiki.

Dereva utaacha cheti chako cha kidato cha nne/sita kama mdhamini wako upewapo pikipiki.
Maana yake kama huna cheti usijihangaishe kuomba.

Kama upo tayari njoo Pm.
 
Utakuwa na matatizo ya akili wewe,, yaani mtu akuachie cheti chake teba bora ungesema copy, ila org!! Kwa ajili ya kimkweche chako!? Unajua thamani ya cheti kweli wewe, yaani amekipata baada ya kukisotea miaka kumi naa then akuletee ufanyie ubwisi kwa kujibodaboda!! Kapime tezi Dume!!
 
Utakuwa na matatizo ya akili wewe,, yaani mtu akuachie cheti chake teba bora ungesema copy, ila org!! Kwa ajili ya kimkweche chako!? Unajua thamani ya cheti kweli wewe, yaani amekipata baada ya kukisotea miaka kumi naa then akuletee ufanyie ubwisi kwa kujibodaboda!! Kapime tezi Dume!!


karibu sana Mkuu, unaonekana umemaliza chuo juzi. Pia unaonekana huna exposure ya dunia inaendaje.
Kama haupo tayari hukuwa na sababu ya kuandika upuuzi wako. Wakati wewe unafungia vyeti vyako wenzako wanapiga hela.
 
Habari wakuu.

Ninapiki piki tatu, nahitaji vijana watatu waadilifu wa kuziendesha. Boxer per day 8000/=, haugue per day 7000/=
Dereve anapaswa awe mkazi wa Dar.
Dereve unapaswa ulete kila siku hesabu na ukirusha siku mbili mfululizo utanyang'anywa pikipiki.

Dereva utaacha cheti chako cha kidato cha nne/sita kama mdhamini wako upewapo pikipiki.
Maana yake kama huna cheti usijihangaishe kuomba.

Kama upo tayari njoo Pm.
Mzee ni mkopo ama?I mean mkataba
 
Back
Top Bottom