Madeni ya watumishi yatalipwa mwaka Huu?

Madeni ya watumishi yatalipwa mwaka Huu?

pacoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
650
Reaction score
415
Jamani naulizia wale watumishi wa umma watalipwa madeni yao? Maana Kuna mtumishi wa umma namdai hela nyingi,ananiambia Nisubirie watalipwa madeni yao,wanaojua wanijuze ni kweli?
 
Mbona walishalipwa zamani? Serikali haidaiwi na mtumishi yeyote, ndio maana hata nyongeza yao ya mwaka hakuna. Msamehe bure.
 
Unawaumiza wenzako kwa hii thread,watumishi sasa hivi wana hasira kali sana,kuna best yangu mmoja muda wote anatukana tu
 
Uhamisho kwanza madeni wakáe nayo tu
 
Yaani hapo ndio balaa mke wangu yuko Shinyanga kila siku naomba tangazo litoke, asiye jua thamani ya mke wala hajali.
Nimewambia watu tutumie social media twende kwenye twitter account inster gram na zinginezo za hawa watu, tuulize tu mwanzo mwisho
 
Watumishi mjiongeze. Anzeni kumimina misifa kwa mkulu. Kesho yake mtalipwa kila kitu.
Hakuna hela inatoka siku hizi mpaka aseme yeye. Rais tunaye!
 
Nimewambia watu tutumie social media twende kwenye twitter account inster gram na zinginezo za hawa watu, tuulize tu mwanzo mwisho
Sijasikia hata mbunge mmoja kuuliza kuhusu uhamisho, hatma yake ni nini? Na wala hakuna jibu/taarifa yoyote kuhusu swala hilo. Ptuuuu....
 
Back
Top Bottom