Ninaomba kufahamu kuwa yale madeni yanayodaiwa Serikali na PSPF yamekwishalipwa?. Mhe. Rais aliahidi kuyalipa kabla hajatoka ofisini. Tunaomba kufahamishwa ili sisi tunaodai tuanze kufuatilia malipo yetu.
Duh mimi karibuni nitastaafu sijui PSPF watanilipa mapema nimelitumikia taifa hili miaka 36 sasa kama hela zetu tulizokuwa tunakatwa kuchangia mfuko serikali imezikopa tutakuwa wageni wa nani ndiyo maana wafanyakazi wengine huamua kuchukua chao mapema kwa kuiibia serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.