hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Madenge baada ya kufaulu mtihani wa Form Four akaambiwa achague zawadi yoyote aipendayo,
Madenge: nataka posa nikamuoe bibi maana ni siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake,
Baba Madenge: Shenzi wewe yule ni mama yangu mzazi huwez kumuoa,
Madenge: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu!
Madenge: nataka posa nikamuoe bibi maana ni siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake,
Baba Madenge: Shenzi wewe yule ni mama yangu mzazi huwez kumuoa,
Madenge: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu!