Madenge mpenda kuoa

Madenge mpenda kuoa

hekimatele

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2011
Posts
9,889
Reaction score
2,799
Madenge baada ya kufaulu mtihani wa Form Four akaambiwa achague zawadi yoyote aipendayo,

Madenge: nataka posa nikamuoe bibi maana ni siku nyingi amekuwa akiniita mchumba wake,

Baba Madenge: Shenzi wewe yule ni mama yangu mzazi huwez kumuoa,

Madenge: Mbona wewe umemuoa mama yangu mzazi sijasema kitu!
 
Hahhaha madenge hajaacha haya mambo tuuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom