Mademu wa kichaga

Mademu wa kichaga

Status
Not open for further replies.
Mwache huyo dada manake hujampenda, ukimpenda mtu ni pamoja na mapungufu yake, na hata kama mambo hayajui kama wewe unayajua si umfundishe? hakuna anayezaliwa anayajua hayo mambo. wewe ni mbinafsi tu...
 
Yani wew unajua ndoa ni kufanya mapenzi 2, kuna v2 vya kufanya..
 
"Mademu" wa kichagga wako vizuri. They are focused on life and these days they are freaky too. Umelamba dume la jembe, kamua kaka!
 
Wana MMU kwa wale wenye uzoefu naomba mniambie vipi watoto wa kichaga wanaweza mambo?nataka nioe huku kuna mtoto wa kichaga nshampata ndo nataka nijue
weee hao mademu wanaweza kutafuta hela tu jiandae kuwa tajiri but kwenye hiyo sifa unayotaka jiandae kuwa mchapa kazi kwa kitanda wao wanalala tu..safari njema ya kuwa tajiri
 
Mkuu tatizo sio kabila. Kubwa ni kujiuliza mwenzio ameishi mazingira gani na yameathiri vipi mtazamo wake juu ya maisha. Anaamini juu ya nini. Wapo wachaga ambao hawajui lolote kuhusu tamaduni zao yeye ni mchaga jina tu. Kubwa ni how you,ll get along with her.
 
Mwache huyo dada manake hujampenda, ukimpenda mtu ni pamoja na mapungufu yake, na hata kama mambo hayajui kama wewe unayajua si umfundishe? hakuna anayezaliwa anayajua hayo mambo. wewe ni mbinafsi tu...

Annabrenda dear nakubaliana na wewe 100%. Ukimpenda mtu umpende na mapungufu yake. Pa kumrekebisha mrekebishe. Hakuna mwanadamu timilifu. Cha msingi ni communication iwepo ili kila mmoja wenu ajue ni nini kinamfurahisha mwenzi wake. Mambo mengine mtajifunza mbele kwa mbele.
 
ujinga wa akili isiyo na ufahamu ni kuruhusu mambo mabaya yaliyopita yaendeshe yale yajayo huku ukitarajia yawe mazuri, hivi hizi mambo za ukabila zatoka wapi?..na wale wengi utaowakuta wakilalama juu ya uchaga ni wale ambao hajawahi ONJA maisha ya mahusiano na wanawake wa kichaga au waliishia kupigwa vibuti na kuishia kusema "SIZITAKI MBICHI HIZI"..ni ukweli usiopingika sehemu kubwa ya wanawake wa kichaga ni WAREMBO na wamefunzwa au wanaishi maisha ya kisasa na zaidi wameelimika, na itakulazimu tu uwe class fulani hivi ili kuyafurahia maisha na binti wa kichaga, au nenda kusini kaoe jamii ya wakulima au kanda ya kati kaoe wafugaji, tuachie siye tuoe wachaga si mnaoa makabila????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom