yeye yuko manzese, anamaana kwamba waandamani wote, kutoka miji yote mikubwa ya marekani ni wapuuzi, yeye anauelewa na ubaguzi kuliko wao,,,anamaanisha ikibidi waje kwake awape kozi juu ya ubaguzi wa rangi, huku ye yuko manzese wao wako frontline na ubaguzi wa rangi