Madawati ya shule yanaenda wapi

koyola

JF-Expert Member
May 20, 2015
2,645
1,748
Ni swali liliulizwa hivi darasa la saba wakimaliza huwa wanaondoka na madawati kwenda nayo kidato cha 4? Maana gep la upungufu lina kuwa kubwa kila kukicha
 
Ni swali liliulizwa hivi darasa la saba wakimaliza huwa wanaondoka na madawati kwenda nayo kidato cha 4? Maana gep la upungufu lina kuwa kubwa kila kukicha
Mengine huvunjika, mengine huchakaa, lakini pia kila baada ya miaka saba idadi ya wanafunzi mashuleni inakua kwa 20%, hii ni kulingana na takwimu fulani kutoka taasisi moja nyeti hapa nchini.
 
Hata me nashangaa Sana miaka hii madawati yanahimizwa kuliko Hata walimu na vitabu mashuleni ukigeuka kushoto kulia Ni madawati madawati madawati tuuuuu
Kuna haja ya msingi ya kutengeneza madawati ya cement mashuleni yanakuwa imara na hayavunjiki kirahisi yanakuwa permanent Ni wazo langu tu
naona kuna baadhi ya wilaya wanavuna miti ili kupata madawati hii inaleta Shida Kwa sababu Sio mbao zote Ni imara Kwa ajili ya fanicha haswa madawati after two years Shida inarudi pale pale yamevunjika hivyo watashambulia misitu tena. Ni vizuri tukajiongeza Kwenye permanent solution ifike mahali ukataji miti upunguzwe Kwa mbinu mbadala Kama hizo za kuweka madawati ya cement tupu Ni kiasi cha ubunifu tu naamini madarasa yatapendeza tu
 
Back
Top Bottom