Wanajf hii mambo ya madawa kulevya mimi nadhan ni kutokana na mambo yafuatayo:-
1.RUSHWA
2.KUJUANA
3.UZEMBE WA M
AFISADI.
waweza ongeza ila wenzetu wanaangamia china na kwingineko kwa sababu ya watu wachache.
Wanajf hii mambo ya madawa kulevya mimi nadhan ni kutokana na mambo yafuatayo:-
1.RUSHWA
2.KUJUANA
3.UZEMBE WA M
AFISADI.
waweza ongeza ila wenzetu wanaangamia china na kwingineko kwa sababu ya watu wachache.
Muulize Kikwete kwanini amekumbatia majina ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya? Yeye kila kitu hawezi kuchukua hatua, sijui ni Rais wa namna gani huyu. Nashawishika kuwa pengine naye anahisa katika biashara hizo: madawa ya kulevya, ujangili, ufisadi nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.