washikaji walikuwa wakija kunigongea night kali,kamanda amka twende tukausake utajiri,hata kwa njia zile ambazo sio halali,nikakubali,nikawa silalii..."Elimu Dunia, Mwenzenu nilikataa"
jana nmepita ubungo mataaa nimemuona teja waziwazi anajidunga.. najiuliza mtu kama huyo akikamatwa ataje alipopata huo unga utakuwa mwanzo mzuri.
Nilkuwa nawahi daladalaKwa nini usingemkamata?
Bado hujanunua vitz mkuu? daladala zinachosha.Nilkuwa nawahi daladala
Kipato kidogo nasubiri mikopo ifunguliweBado hujanunua vitz mkuu? daladala zinachosha.
Kwa hali ilivyo sasa sijui mie nitaanza kununua tairi mojamoja.
Jamaa alikuwa bonge la kipaji, ni zaidi ya Feruziwashikaji walikuwa wakija kunigongea night kali,kamanda amka twende tukausake utajiri,hata kwa njia zile ambazo sio halali,nikakubali,nikawa silalii...
dash enzi hizo,m beat wa mheshimiwa majani.hatari sana
Mapusha wote wanajulikana police postjana nmepita ubungo mataaa nimemuona teja waziwazi anajidunga.. najiuliza mtu kama huyo akikamatwa ataje alipopata huo unga utakuwa mwanzo mzuri.