Madaraja mapya sasa basi, achia Madaraja ya watumishi

Madaraja mapya sasa basi, achia Madaraja ya watumishi

Kelele wewe...Walimu nyongeza yenu niile hela ya kusimamia uchaguzi mlolipwa mkafanya uhara100 wenu sasa KARMA inawatafuna mpaka chupi ziwachanikie zichakae
 
Unaomba haki toka serikali ya dhulma? Sahau mwalimu
 
Sawa .Lakini ulisema madaktari na manesi tu ndo wanahatarisha maisha yao kwa kushika damu yenye magonjwa SIYO sahihi.Kila kazi ina hatari zake,Lakini pia kila kazi ukiisomea unaelewa namna ya kujikinga au kukabili hatari hiz😵therwise you're declaring your interest as one of the nurses and doctors.
Siyo walimu tu, watumishi wengi wa idara ya afya hawajapandishwa madaraja kwa zaidi ya miaka saba toka wameajiriwa mshahara ni ule ule lakini gharama za maisha zinapanda kila kukicha, madaktari na manesi wanahatarisha maisha yao kwa kushika damu za wagonjwa (infectious blood),watumishi hawa wanafanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya watanzani 24/7 mpaka siku ya sikukuu kama leo wao wanachezea damu kwenye chumba cha upasuaji,Tanzania kungekuwa na uhuru wa mawazo na kujitambua kama Kenya wangeshagoma,nani wa kuwasemea na kuwatetea? Viongozi wao wapigwa ganzi (anesthesia) na system,
 
Ushauri wangu mishahara na idadi,majukumu watumishi wa umma yafanyiwe mapitio usawa, ikibidi kufuta,kuunganisha baadhi ya vitengo idara,wizara.Malipo mishahara ni karibu nusu ya makusanyo yote ya mwezi.
 
Uhakiki, watumishi hewa,na kununua ndrge ndio vinakwamisha.Tuendelee kuunga mkono.
Siyo walimu tu, watumishi wengi wa idara ya afya hawajapandishwa madaraja kwa zaidi ya miaka saba toka wameajiriwa mshahara ni ule ule lakini gharama za maisha zinapanda kila kukicha, madaktari na manesi wanahatarisha maisha yao kwa kushika damu za wagonjwa (infectious blood),watumishi hawa wanafanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya watanzani 24/7 mpaka siku ya sikukuu kama leo wao wanachezea damu kwenye chumba cha upasuaji,Tanzania kungekuwa na uhuru wa mawazo na kujitambua kama Kenya wangeshagoma,nani wa kuwasemea na kuwatetea? Viongozi wao wapigwa ganzi (anesthesia) na system,
 
Ushauri wangu mishahara na idadi,majukumu watumishi wa umma yafanyiwe mapitio usawa, ikibidi kufuta,kuunganisha baadhi ya vitengo idara,wizara.Malipo mishahara ni karibu nusu ya makusanyo yote ya mwezi.
Bora mishahara ikaribiane.Mtu unamlipa milioni 15 kwa mwezi?Huu ni ujinga wa nchi maskini.Mishahara ipunguzwe ili watu waajiriwe.
 
Back
Top Bottom