Madame Joy(Mwalimu wangu wa mathe)

Madame Joy(Mwalimu wangu wa mathe)

Hatari sana ila kusema kweli Mwl akiwa pisi kali au mtu anayekusimamia akiwa pisi kali ana shawishi sana kulifanya jambo lake kwa ufasaha na uhakika
 
Kweli huyo alikuwa sent from hevean maana waalimu wngi madem wa maths ni sura za baba,anyway Mimi bwana pesono siwezi msahau mwalimu wangu wa Sanaa alihamia nikiwa darasa la nne,cheusi Mangala,halafu kafungasha mzigo,alikuwa akiingia class mpaka anatoka mi network zinakatika,bahati nlikuja kuhama Ile shule.
 
Mbn chai kbs hii, nacte na sekondari wap na wap??
Au ndo wasomi wetu wa nacte form2, mkuu inaonyesha hat number hujawah kupata maksi juu ya umri wako, shule zkifunguliwa muulize mwl wako tofaut ya nacte na necta
Ni humohumo mkuu sema ni kitambo sana labda tukumbushane nacte na necta . Alafu hii ndio najua leo kama kuna hivi vitu
 
Mimi yangu ni mwanafunzi mwenzetu aliamia tukiwa form 2.

Yule bint alikua kisu haswaaaaaa siku ya kwanza kuja shule nzima ilikua kama sherehe maana kila mtu alizipata izo taarifa so darasa la form 2c likawa kivutio cha shule.
Kwelii wazuri hawasomagi 😃😂😂😂alikuja kufukuzwa baada ya kupata skendo kubwa ya kutoka na mmbaba wa UN mke wa mwenyewe alikuja skull kutoa uhai wa bint.
Bint wa miaka 16 pata picha mrefu,shepu no 8,mweupe,sura kama mdoll,sauti balaaa hakika shule ilidata sio wasichana wala wavulana,maticha,yaaaan kila binadam alivutiwa na uzuri wake.
Alikua mixer ya mjerumani na mmbulu.
 
Back
Top Bottom