Mimi yangu ni mwanafunzi mwenzetu aliamia tukiwa form 2.
Yule bint alikua kisu haswaaaaaa siku ya kwanza kuja shule nzima ilikua kama sherehe maana kila mtu alizipata izo taarifa so darasa la form 2c likawa kivutio cha shule.
Kwelii wazuri hawasomagi 😃😂😂😂alikuja kufukuzwa baada ya kupata skendo kubwa ya kutoka na mmbaba wa UN mke wa mwenyewe alikuja skull kutoa uhai wa bint.
Bint wa miaka 16 pata picha mrefu,shepu no 8,mweupe,sura kama mdoll,sauti balaaa hakika shule ilidata sio wasichana wala wavulana,maticha,yaaaan kila binadam alivutiwa na uzuri wake.
Alikua mixer ya mjerumani na mmbulu.