billduke JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 861 Reaction score 901 Jul 7, 2015 #81 Heaven on Earth said: Sio kwa kuadimika huko binamu Miss you too Bora alivyoitoa TBC.. Maana mnaweza kua mnasubiri kipindi unashangaa leo kipindi kitachelewa .. Kuna kipindi cha kilimo cha mbogboga kwanza... Click to expand... Ha ha ha you made my day eti kipindi cha mboga mboga
Heaven on Earth said: Sio kwa kuadimika huko binamu Miss you too Bora alivyoitoa TBC.. Maana mnaweza kua mnasubiri kipindi unashangaa leo kipindi kitachelewa .. Kuna kipindi cha kilimo cha mbogboga kwanza... Click to expand... Ha ha ha you made my day eti kipindi cha mboga mboga
M Madam Mwajuma JF-Expert Member Joined Sep 13, 2014 Posts 7,076 Reaction score 6,774 Jul 7, 2015 #82 mwanga lutila said: Naona toka babu amwage huyu mama na BONGO STAR SEARCH nayo ikafanya. Huyu Babu noma. Click to expand... huyo dada alipataga majanga bahna aliuguaga wakati fulani hivi na gari yake iliunguaga moto ikabaki majivu ilikuwa ya bei ya juu sana alipata stress
mwanga lutila said: Naona toka babu amwage huyu mama na BONGO STAR SEARCH nayo ikafanya. Huyu Babu noma. Click to expand... huyo dada alipataga majanga bahna aliuguaga wakati fulani hivi na gari yake iliunguaga moto ikabaki majivu ilikuwa ya bei ya juu sana alipata stress
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Jul 7, 2015 #83 Nampenda sana madam Ritta. She is awesome.....
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Jul 7, 2015 #84 mwaj waukweli said: huyo dada alipataga majanga bahna aliuguaga wakati fulani hivi na gari yake iliunguaga moto ikabaki majivu ilikuwa ya bei ya juu sana alipata stress Click to expand... ga...ga...ga! Hivi lady gaga ni mwenyeji wa wapi vile?
mwaj waukweli said: huyo dada alipataga majanga bahna aliuguaga wakati fulani hivi na gari yake iliunguaga moto ikabaki majivu ilikuwa ya bei ya juu sana alipata stress Click to expand... ga...ga...ga! Hivi lady gaga ni mwenyeji wa wapi vile?
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 20,725 Reaction score 31,307 Jul 7, 2015 #85 Excel said: ga...ga...ga! Hivi lady gaga ni mwenyeji wa wapi vile? Click to expand... ni dada yake na mchezaji maarufu wa zamani Tanzania,anaitwa hamis gaga "gagarino"
Excel said: ga...ga...ga! Hivi lady gaga ni mwenyeji wa wapi vile? Click to expand... ni dada yake na mchezaji maarufu wa zamani Tanzania,anaitwa hamis gaga "gagarino"
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Jul 7, 2015 #86 chinembe said: ni dada yake na mchezaji maarufu wa zamani Tanzania,anaitwa hamis gaga "gagarino" Click to expand... Ka hiyo wamezaliwa black and white?
chinembe said: ni dada yake na mchezaji maarufu wa zamani Tanzania,anaitwa hamis gaga "gagarino" Click to expand... Ka hiyo wamezaliwa black and white?
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 20,725 Reaction score 31,307 Jul 7, 2015 #87 Excel said: Ka hiyo wamezaliwa black and white? Click to expand... yes...yes..,kama ulikuwepo
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,729 Reaction score 34,830 Jul 7, 2015 #88 chinembe said: inawezekana madam rita alikuwa anapiga vidonge vya uzazi, machache kafundishwa katerero na bibie changanya na kelele za mahaba Click to expand... Sipati picha kama unampiga bakora huyu mwanamuziki mwenye sauti nzuri, alaf alie kwa mahaba lazma uchanganyikiwe..!
chinembe said: inawezekana madam rita alikuwa anapiga vidonge vya uzazi, machache kafundishwa katerero na bibie changanya na kelele za mahaba Click to expand... Sipati picha kama unampiga bakora huyu mwanamuziki mwenye sauti nzuri, alaf alie kwa mahaba lazma uchanganyikiwe..!
G3T JF-Expert Member Joined May 21, 2013 Posts 816 Reaction score 400 Jul 8, 2015 #89 chinembe said: hivi diamond akizeeka ule mdomo si utafika kifuani Click to expand... πound:πound:πound:πound:πound:
chinembe said: hivi diamond akizeeka ule mdomo si utafika kifuani Click to expand... πound:πound:πound:πound:πound:
N nyambuta manyembe Member Joined Jun 11, 2015 Posts 16 Reaction score 2 Jul 9, 2015 #90 itaonyeshwa star TV soon we angalia TV tu. utaona maTANGAZO:shock::shock:πoa:bump2::blah::decision::A S crown-2::rant:πhone:
itaonyeshwa star TV soon we angalia TV tu. utaona maTANGAZO:shock::shock:πoa:bump2::blah::decision::A S crown-2::rant:πhone:
Scorpio Me JF-Expert Member Joined Aug 2, 2016 Posts 6,119 Reaction score 7,950 Jun 7, 2018 #91 chinembe said: historia ya kazi au maisha ya mahusiano na kujamiiana Click to expand...
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,116 Jun 7, 2018 #92 Machache katulizwa anapewa mambo mazzitto
ISIS JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 96,072 Reaction score 858,572 Jun 7, 2018 #93 Kwishney, thatβs all!