Madalali wa ulozi

Madalali wa ulozi

Achana nazo ni kiini macho na ujinga mtupu

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
unatoa majibu mafupi sana.
ni kama mzazi anakwambia achana na huyu rafiki yako lakini hakuelezei kinaga ubaga madhara gani ya kuachana na huyo rafiki katika maisha yako.
 
unatoa majibu mafupi sana.
ni kama mzazi anakwambia achana na huyu rafiki yako lakini hakuelezei kinaga ubaga madhara gani ya kuachana na huyo rafiki katika maisha yako.
Sorry nitarudi na ufafanuzi

Jr
 
Mimi huwa nashangaa sana unamkuta mtu ana elimu nzuri tu lakini unamkuta kwa waganga wa kienyeji anapiga ramli, nadhani elimu yetu ina mapungufu makubwa, elimu yetu haiwafanyi watu wetu kujiamini
Elimu isiyogeuka kuwa maarifa ya kumtoa mtu point - kwenda + bado sio elimu, halafu zingatia na ujifunze kuwa sio kila anayesoma ama kwenda shule huelimika.
 
 
Mimi huwa nashangaa sana unamkuta mtu ana elimu nzuri tu lakini unamkuta kwa waganga wa kienyeji anapiga ramli, nadhani elimu yetu ina mapungufu makubwa, elimu yetu haiwafanyi watu wetu kujiamini
Yale ni mambo ya imani ndugu, ndio maana kama huamini huwezi fanikiwa iwe tiba au bahati, unaweza ukawa na Elimu ila ukawa unasumbuliwa na mambo ya mizimu ambayo wengi kwa sasa yanawasibu ila hawajui kutokana na umjinimjini, kila binadamu ana asili hata kama huamini wewe mzazi wako anaweza akawa anaamini huko/mizimu, na kuisusa adhabu yake itakuja mpaka kwenu
 
Yale ni mambo ya imani ndugu, ndio maana kama huamini huwezi fanikiwa iwe tiba au bahati, unaweza ukawa na Elimu ila ukawa unasumbuliwa na mambo ya mizimu ambayo wengi kwa sasa yanawasibu ila hawajui kutokana na umjinimjini, kila binadamu ana asili hata kama huamini wewe mzazi wako anaweza akawa anaamini huko/mizimu, na kuisusa adhabu yake itakuja mpaka kwenu
 
Back
Top Bottom