Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,602
- 830,344
RIP Prof. Chachange S. Chachange andiko lako bora kabisa la MAKUWADI WA SOKO HURIA pengine lilichangia mwisho wako (nimewaza tu kwa sauti) Wameua mwili lakini sio maandishi! Maandishi ni kama roho isiyokufa! Hayafutiki.
Maisha hayana adabu hasa changamoto zinapokuwa nyingi kwenye upande wa kipato watu hutafuta kila jinsi ya kupata pesa!!! Kwa kutumia njia halali ama haramu.
Tunafahamu sekta ya uchawi na ushirikina vilivyo na nguvu katika jamii yetu (japo tunaiponda sana machoni pa watu) watu wa kaliba zote huenda huko kuanzia viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa, wafanyabiashara wafanyakazi wasomi n.k.
Mahitaji ya nguvu za giza ni nakubwa kuliko tunavyodhani. Ni kupitia nguvu hiyo kuna watu wamejiongeza hawa wamejivika koti la udalali na ukuwadi lakini kwa style ya aina yake na wengi ni ndugu jamaa marafiki na watu wetu wa karibu.
Rafiki mwema nisikilize nikwambie, epuka mno shuhuda za watu wa jinsi hii namna alivyotatuliwa shida zake ana jamaa yake na MTAALAM fulani.
Wanajua kupamba kweli na kutoa assurance ya uhakika kabisa kuwa huyo mtu ni kiboko na kasaidia mpaka wazito fulani fulani.
Waepuke hawa ni watu wa kati wenye mawasiliano na makubaliano na hao WATAALAM! Kila akipeleka kichwa yeye ana percent yake hapo n life goes on.
Wengi wamepigwa sana kwa style hii kumbuka hili mganga wa kweli hakwambii toa laki tena in advance (kwa ajili ya vifaa)pesa unazotoa kule ni kiingilio cha kukubali kuingizwa kwenye mambo ya giza na si vinginevyo.
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Maisha hayana adabu hasa changamoto zinapokuwa nyingi kwenye upande wa kipato watu hutafuta kila jinsi ya kupata pesa!!! Kwa kutumia njia halali ama haramu.
Tunafahamu sekta ya uchawi na ushirikina vilivyo na nguvu katika jamii yetu (japo tunaiponda sana machoni pa watu) watu wa kaliba zote huenda huko kuanzia viongozi wa dini, viongozi wa kisiasa, wafanyabiashara wafanyakazi wasomi n.k.
Mahitaji ya nguvu za giza ni nakubwa kuliko tunavyodhani. Ni kupitia nguvu hiyo kuna watu wamejiongeza hawa wamejivika koti la udalali na ukuwadi lakini kwa style ya aina yake na wengi ni ndugu jamaa marafiki na watu wetu wa karibu.
Rafiki mwema nisikilize nikwambie, epuka mno shuhuda za watu wa jinsi hii namna alivyotatuliwa shida zake ana jamaa yake na MTAALAM fulani.
Wanajua kupamba kweli na kutoa assurance ya uhakika kabisa kuwa huyo mtu ni kiboko na kasaidia mpaka wazito fulani fulani.
Waepuke hawa ni watu wa kati wenye mawasiliano na makubaliano na hao WATAALAM! Kila akipeleka kichwa yeye ana percent yake hapo n life goes on.
Wengi wamepigwa sana kwa style hii kumbuka hili mganga wa kweli hakwambii toa laki tena in advance (kwa ajili ya vifaa)pesa unazotoa kule ni kiingilio cha kukubali kuingizwa kwenye mambo ya giza na si vinginevyo.
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app