Madalali natafuta nyumba

Madalali natafuta nyumba

mzeemkavu

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
552
Reaction score
474
Natafuta Nyumba Ya Kupanga Dar es salaam.

VIGEZO:
1. Iwe Maeneo ya Kigogo mbuyuni mpaka chawote au Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama mpaka manzese

2. Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya Geti)

3. Chumba Kimoja(Self-container),Sebule,Jiko (vyumba viwevikubwa )

4. Iwe Ina Ceiling board

5. Kodi Laki Na Nusu Kwa Mwezi mpaka laki mbili na nusu

6. Pesa Ya Dalali natoa (Tunaweza Ongea Pia)
Napokea Ushauri Pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom