mzeemkavu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 552
- 474
Natafuta Nyumba Ya Kupanga Dar es salaam.
VIGEZO:
1. Iwe Maeneo ya Kigogo mbuyuni mpaka chawote au Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama mpaka manzese
2. Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya Geti)
3. Chumba Kimoja(Self-container),Sebule,Jiko (vyumba viwevikubwa )
4. Iwe Ina Ceiling board
5. Kodi Laki Na Nusu Kwa Mwezi mpaka laki mbili na nusu
6. Pesa Ya Dalali natoa (Tunaweza Ongea Pia)
Napokea Ushauri Pia
VIGEZO:
1. Iwe Maeneo ya Kigogo mbuyuni mpaka chawote au Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama mpaka manzese
2. Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya Geti)
3. Chumba Kimoja(Self-container),Sebule,Jiko (vyumba viwevikubwa )
4. Iwe Ina Ceiling board
5. Kodi Laki Na Nusu Kwa Mwezi mpaka laki mbili na nusu
6. Pesa Ya Dalali natoa (Tunaweza Ongea Pia)
Napokea Ushauri Pia