madaktari watatu

madaktari watatu

Kabakabana

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
5,550
Reaction score
1,166
kulikuwa na mabishano makali,kati ya madaktari watatu.akaanza daktari wa kichina akasema sisi tumemuwekea mkono mtoto ambae alizaliwa bila mkono na sasa ameshinda mashindano ya netbol.Akafuata mjerumani akasema sisi tumemuwezesha mtoto aliezaliwa bila miguu wala mikono na sasa ana medali tano za olympic.Mtanzania akawacheka kwa dharau akawaambia sisi tulimuwekea nazi mtoto aliezaliwa bila kichwa na sasa ni raisi
 
NIMEKUPATA:
Tafadhali kwa watanzania walio tayari kuitumikia nchi yao kwa moyo wote walio ndani ya mtandao wa JF, mnakaribishwa kujiunga katika timu muhimu inayoundwa hivi punde. KAZI: Kupika chakula bila kujijali binafsi. SIFA: Kujitoa. Tuma maombi na sifa zako kwa marcossy@yahoo.com kabla ya J5 hii ya Idd el fitr.
NI KWA WENYE AKILI TU.
 
Back
Top Bottom