Wale madaktari walioajiriwa siku chache zilizopita tulitangaziwa wataripoti vituo vya kazi kuanzia juzi Jumatatu(24/4/2017). Sasa huku Tabora mbona hakuna aliyekwisharipoti? Hata kwa mikoa ya jirani nimejaribu kuulizia nao hakuna aliyekwisharipoti.
Au tuamini hizi tetesi ya kwamba wanasubiri hadi mwaka ujao wa fedha?
Au tuamini hizi tetesi ya kwamba wanasubiri hadi mwaka ujao wa fedha?