Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Mkuu Janson, unaonaje ukijadili hoja badala ya kutukana?!, kila mtu anayejibidisha kufikiri sasa anaweza kuona who was behind richmond, sidhani kama ni Lowasa. I can see it in your eyes kuwa umetumwa kama walivyotumwa akina Mwakyembe kupotosha ukweli kwa maslah ya urais- wewe hujaliona hilo?!
Lowasa amewaambia hao waliokutuma kuwa hakuhusika na alishauri mkataba wa Richmond ufutwe na kama unatumia your upstairs vizuri utakuwa umeelewa kuwa pendekezo lake halikuwa-honoured, bado tu unasisitiza kuwa alikuibia?! Alikuibia nini?!, keep on weiling.
Lowasa amewaambia hao waliokutuma kuwa hakuhusika na alishauri mkataba wa Richmond ufutwe na kama unatumia your upstairs vizuri utakuwa umeelewa kuwa pendekezo lake halikuwa-honoured, bado tu unasisitiza kuwa alikuibia?! Alikuibia nini?!, keep on weiling.
wewe ni kibaraka wa edo. huwezi ukawa unatetea ujinga kiasi hicho . yani unataka kuhalalisha wizi alioufanya edo? hatuwezi kukubaliana na wewe katika ujinga huu unaotueleza . watanzania wanaelewa pumba na mchele ni upi. usiwafanye wa tz ni wajinga kama wewe kibaraka wa edo. endelea kukubali kushikiwa akili.