source tafadhali usiseme tuu bila data.
Ya kweli hayo Mkuu?
Mkuu toa taarifa kamili! tunahitaji kujua hali ya Dr. ni moja ya watu waliowezesha mabadiliko makubwa nchini kutokana na kazi zao, najua wengi hawaamini jinsi nchi ilivyolipuka baada ya EL kujiuzuru.
Ndiyo, nchi ililipuka, but, in what direction?; FYI, kuna wengi walishangazwa na kusikitishwa na kitendo cha kamati kuleta taarifa ya kupika, FYI, swala la Richmond wabunge wengi walikuwa wanajua ukweli wake ambao ni tofauti na kilichoelezwa na taarifa ya Mwakyembe, so, you better read btn the lines, aliyemtumia Mwakyembe kuzungumza uongo ndiyo huyuhuyu ambaye sasa hamuhitaji Mwakyembe kwenye jukwaa la siasa. Ukweli uko wazi lakini cha kushangaza ni kuwa bado hata GT wanadanganya jamii. Emancipate yourself from mental slavery, non but ourself can free our minds, have no fear for atomic energy cos non of them can stop the time.................................how long shall they kill our prophets while we stand aside and look?. Wont you help to sing, the songs of freedon, its all i ever want, redemption song.
wewe hujui unachokiongea my friend. eti taarifa za kupika, hujui unachokinena. mwakyembe ni mmoja kati ya watanzania walioleta mabadiliko makubwa katika nchi hii kwa kuweza kumtoa madarakani mwizi no 1 edo
wewe hujui unachokiongea my friend. eti taarifa za kupika, hujui unachokinena. mwakyembe ni mmoja kati ya watanzania walioleta mabadiliko makubwa katika nchi hii kwa kuweza kumtoa madarakani mwizi no 1 edo