Madaktari uchwara/ clinical officers mnaua sana watu,Serikali chunguzeni hawa

Exactly
What if kama alishauriwa aende kwenye hospitali kubwa akarefuse? Je umepata maelezo ya upande wa pili?
Sikatai,hilo linaweza kutokea ila wakati mwingine wagonjwa wanajisababishia matatizo kwa ubishi na ujuaji wao.
 
Back
Top Bottom