Watu wako ndani ya ukumbi mbona hatuoni tweets zao?
mimi nataka nifuatilie hili sakata live tokwa kwa twitters mbali mbali
Nauliza hata JF na akina Pasco, Halisi na wengineo tunaomba twitter coordination zenu tuwe tunapata live feeds
including pictures
kama hamwezi muulizeni Invisible awasaidie maana hakuna namna zaidi ya kubebwa bebwa tuu
mimi nataka nifuatilie hili sakata live tokwa kwa twitters mbali mbali
Nauliza hata JF na akina Pasco, Halisi na wengineo tunaomba twitter coordination zenu tuwe tunapata live feeds
including pictures
kama hamwezi muulizeni Invisible awasaidie maana hakuna namna zaidi ya kubebwa bebwa tuu