Kutokana na Serikali ya CCM kutumia mahakama kama chombo cha kuwanyima madaktari,walimu pamoja na watumish wote kwa pamoja kudai haki zao za msingi pamoja na mazingira mazuri ya kufanyia kazi.
Ni wakati sasa watumishi wa umma kuanza kukiunga mkono kwa pamoja CHADEMA katika kuelekea kushika dola 2015,Kwan CHADEMA ni kwa maslah ya umma na ilan yake inatoa kipaumbele kwa watumishi wa idara zote.
UNGA MKONO CHADEMA KWA MASLAH YA WALIMU, MADAKTARI, MKULIMA, MFUGAJI NA WATUMISHI WOTE WA UMMA AMKENI SASA
Ni wakati sasa watumishi wa umma kuanza kukiunga mkono kwa pamoja CHADEMA katika kuelekea kushika dola 2015,Kwan CHADEMA ni kwa maslah ya umma na ilan yake inatoa kipaumbele kwa watumishi wa idara zote.
UNGA MKONO CHADEMA KWA MASLAH YA WALIMU, MADAKTARI, MKULIMA, MFUGAJI NA WATUMISHI WOTE WA UMMA AMKENI SASA