mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Madaktari mnaoomba kwenda Kenya ni vema kwanza mtafakari sababu za ghafla za serikali ya Kenya kutaka madaktari 500. Hamtakuwa salama huko Kenya kama sababu za kuwahitaji ni za kisiasa. Mkumbuke pia maombi hayo yamekuja baada ya mgomo wa madaktari wa huko, na inasemekana kuna madaktari 1400 nchini Kenya ambao hawana ajira rasmi.
Kwa hiyo kabla hamjaomba kwenda Kenya, mjiridhishe.
NB: Msiwasikilize wanasiasa, jitafutieni taarifa wenyewe.
Kwa hiyo kabla hamjaomba kwenda Kenya, mjiridhishe.
NB: Msiwasikilize wanasiasa, jitafutieni taarifa wenyewe.