Pole mkuu. Jipu linatokea endapo kunakuwa na local infection, . especially bacteria infection. Whereby, kinga ya mwili watapambana na hao wavamizi kwenye hiyo sehemu. Katika vita hiyo baadhi ya chembe hai zako around the battle field nazo zinakufa kutokana na silaha kali zinazotumika katika mpambano huo. Kwahiyo pus ( usaha) ni mchanganyiko wa wavamizi (bacteria), cells za kinga ya mwili na cells around the battle fiield.
Tiba yake: INCISION & DRAINAGE- Jipu linachanwa na kutoa usaha wote kwa kutumia/kutotumia ganzi depending na Ukubwa wa Jipu. Pia antibiotics na dawa za maumivu ni muhimu. Dressing pia ni muhimu hadi litakapokauka. I hope haya maelezo yatakusaidia. Pole sana