gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
- Thread starter
- #21
We hujui unachoongea, Huko nyuma kwani watu walikuwa hawafi!!, umeuliza kwanini walikuwa wanakufa na madaktari wapo!!.
tatizo inaonekana mgomo haujakuadhiri kabisa, kama ungeumwa/au ndugu yako angeumwa ndio ungejua adha wanayopata wenzio, pia inaonyesha unavijisent ambavyo ukiumwa unaweza enda pale maria stopes au mikocheni au agha khan fikiria wasio na uwezo ndugu.. acha ubinafsi wewe