Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wakati watanzania wakisherekea bajeti "inayowajari" na ambayo itapunguza ukali wa maisha shilingi ya Tanzania imeendelea kuporomoka, sasa inakimbilia $1 = Tzs1,600 ikilinganishwa na 1,400 ya mwaka jana.
Kushuka thamani kwa pesa siyo lazima kuwa ni kitu kibaya lakini kwa nchi kama Tanzania ambayo inategemea zaidi kuagiza vitu kutoka nje ni hatari kwa mstakabali ya uchumi... Tanzania inaagiza vitu vifuatavyo:
Serikali pia haijaweka jitihada zozote za makusudi kuhakikisha kuwa Tanzania inajitoshereza kwa mafuta ya kula licha ya ukweli kwamba tunauwezo wa kuwa wazalishaji wakubwa wa mafuta ya kula yatokanayo na alizeti na mazao mengine...
Hadi tunafika Desemba itakuwa ajabu kama inflation haitakuwa imefikia asilimia 50% (ukilinganisha na Desemba 2010!)
Kushuka thamani kwa pesa siyo lazima kuwa ni kitu kibaya lakini kwa nchi kama Tanzania ambayo inategemea zaidi kuagiza vitu kutoka nje ni hatari kwa mstakabali ya uchumi... Tanzania inaagiza vitu vifuatavyo:
- Mafuta ya kula - zaidi ya asilimia 80% yanatoka nje
- Mafuta ya kuendeshea mitambo na magari - 100%
- Gesi ya kupikia majumbani - 100%, yes 100%
- Magari na vyombo vingine vya usafiri- 100%
- Pembejeo za kilimo, viwanda - zaidi ya 95%
- Ngano - zaidi ya 90%
- Nguo - zaidi ya 90%
Serikali pia haijaweka jitihada zozote za makusudi kuhakikisha kuwa Tanzania inajitoshereza kwa mafuta ya kula licha ya ukweli kwamba tunauwezo wa kuwa wazalishaji wakubwa wa mafuta ya kula yatokanayo na alizeti na mazao mengine...
Hadi tunafika Desemba itakuwa ajabu kama inflation haitakuwa imefikia asilimia 50% (ukilinganisha na Desemba 2010!)