Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Nawapenda sana dada zangu wa kibongo, lakini sijui kwanini wengi wengu mnapenda sana kunichuna tu, au kwakua mimi ninaroho nzuri.
Sasa naomba mmoja wenu aone umuhimu wa mimi kupata mke jamani sio kuwa ATM tu.
Mwenye sifa zifuatazo jamani hata uni PM tu nitafurahi sana.
1. Asiwe mweupe sana wala mweusi sana.
2. Anayejitegemea.
3. Msafi.
4. Mchangamfu.
5.Mkristo.
6. Mcha Mungu.
7. Asiyekunywa pombe sana.
Mimi ni mwanasheria ninaishi hapa dar na nina umri wa miaka 28.
Naomba kuwasilisha,
Mimi kaka yenu ninayewapenda sana.
Sasa naomba mmoja wenu aone umuhimu wa mimi kupata mke jamani sio kuwa ATM tu.
Mwenye sifa zifuatazo jamani hata uni PM tu nitafurahi sana.
1. Asiwe mweupe sana wala mweusi sana.
2. Anayejitegemea.
3. Msafi.
4. Mchangamfu.
5.Mkristo.
6. Mcha Mungu.
7. Asiyekunywa pombe sana.
Mimi ni mwanasheria ninaishi hapa dar na nina umri wa miaka 28.
Naomba kuwasilisha,
Mimi kaka yenu ninayewapenda sana.