Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,201
- 174,348
Guiness book inamsubiria afike 10 tu😅Dada ana uraibu wa ndoa.
Guiness book inamsubiria afike 10 tu😅Dada ana uraibu wa ndoa.
Kwa zile millions alizochangisha huyu atakuwa mjasiriamali wa michango😅Baada ya kuikimbia ndoa ya nne Dida shaibu amejitapa kuwa tayali yupo kwenye mahusiano mapya na mwakani 2022 ataolewa tena ndoa ya tano.
Dida amesema wakati anafunga ndoa na mhe.Kumbilamoto kuna mtu mwingine ambae alikuwa nae kwenye mahusiano lakini mapenzi yao yalikufa baada ya yeye kuolewa.
Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.
Katika utetezi wake Dida anasema "kaachwa mama Neilson Mandela atakuwa yeye!!" na kuwataka watu waache kumdisi.
Ikumbukwe wakati anaolewa Dida alisema huyo ndiye atakaekuwa mume wake wa kufa na kuzikana.
View attachment 2059224
anakaribia kuipataAnatafuta hatrick ya pili
Sikupingi mzee mwenzangu..Hakuna maajabu ni bwawa limemwagiwa upupu wa waganga wa kienyeji ili unase
Anakutana na vichwa mpira anawafinyia kwa ndani wanatangaza ndoa, au wanahamishiwa njia bila kujua, mtu mpaka anashusha protini kaishatangaza ndoa, mahari wameshakubaliana bado kulipa tuWajomba huenda wanakutana na nta
Hio miundombinu tuAnakutana na vichwa mpira anawafinyia kwa ndani wanatangaza ndoa, au wanahamishiwa njia bila kujua, mtu mpaka anashusha protini kaishatangaza ndoa, mahari wameshakubaliana bado kulipa tu
Dida mwenyewe mgangaLife kweli haiko fea,wakati wenzake wanasaka ndoa had kwa waganga yeye ashapiga ndo nne anaitafuta ya tano, kubabake walah!!
Unaweza ukakuta nae akivishwa pete analia.........,ila Dida naona ndoa kwake zishakuwa kama birthday party.Baada ya kuikimbia ndoa ya nne Dida shaibu amejitapa kuwa tayali yupo kwenye mahusiano mapya na mwakani 2022 ataolewa tena ndoa ya tano.
Dida amesema wakati anafunga ndoa na mhe.Kumbilamoto kuna mtu mwingine ambae alikuwa nae kwenye mahusiano lakini mapenzi yao yalikufa baada ya yeye kuolewa.
Na sasa ameamua arudi kwa mpenzi wake wa awali ambaye ni kijana.
Katika utetezi wake Dida anasema "kaachwa mama Neilson Mandela atakuwa yeye!!" na kuwataka watu waache kumdisi.
Ikumbukwe wakati anaolewa Dida alisema huyo ndiye atakaekuwa mume wake wa kufa na kuzikana.
View attachment 2059224
Waninga wanaooa hku wakijua wanne washapita naeTena mheshimiwa hakua peke yake, ila alimzidi kete mpinzani wake na sasa mpira unarudi kwa keeper.
Hata hao wanaume wanao muoa wana matatizo ya akili dishi limeyumbaMwanamke mpumbavu sana,yaani huo uke wake anaufanya kama bazoka kila mtu akitaka anatafuna utamu ukiisha anaitema,anajiabisha sana.
Hivi sepenga yupo wapSikupingi mzee mwenzangu..
We hata ukisema mchanga mtamu mie naramba, ukiniambia mchanga sukari naunga kwenye chai kabisa...
Lile linaonekana ni gwagu, jini makata subiani,maimuna wapo kwa hewa, waganga itakuwa waishatia tia saana vikojoleo ili dawa itende kazi.