Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,587
- 28,749
wengine hawana vitambi...wana mijitambi....
jamani kila mwanamke mwenye kitambi ni bia za ofa? haujui kuwa wengine wamezaa ndo mana matumbo yako hvyo mana hawayakuyafanyia kazi tangia mwanzo.
Siku hizi kuna idadi kubwa sana ya madada wenye vitambi (siyo mimba).Ni bia za OFA hizo. Asilimia kubwa ya madada hawa ni hatari kwa kupenda OFA za bia.
Aisee wanakunywa bia haoooo....che che che che!
Usiombe ukutane nao baa wanamaliza kreti aisee.
Yaani hamna janamke linalinikera kama lenye kitambi cha bia za ofa.
Yaani ukiliona liepuke.
jaman wengine vitambi sio hata beer bana, mbona tunavitambi vyetu na beer hatunywi?
Hahaha shemejiiii umenifanya nicheke kweli kweliiii
Tatizo ukiwaambia wanakuwa wakali badala ya kuufanyia kazi ujumbe wanaopewa. Dada mmoja kanikasirikia hadi leo kwa kumshauri achukue hatua za kupunguza tumbo na manyama uzembe!kwa wakina mama/ wadada kuwa na vitambi hata haipendezi please do something acheni uvivu matumbo makubwa hayawapendezi bwana , mnakuwa wabayaaaaa, take care for yourselves, :nono:
Bongo kuna vitambi kitu wanawake wa zambia balaa ila wanakwambia ni castle lager!kuzaa hatukatai tumbo linarepeta sana ila jamani pombe sana unakuta mwanamke anakitambi kama tikiti maji halafu wanaozungumziwa hapa wanavitambi vya bia na mchemsho na wanakwenda monde kabla ya hapo wanagonga blue band na kutafuna tishu ili wakutie hasara...unakuta wana wimbo wao wakishakunywea unasikia hvi"kama ni gangsta au sharobaro ongea yani hapo ushaliwa na mzigo hupati
shem kwani
we si unakionaga!
halafu kaka ako anakizimia
balaaa!hataki kusikia vipotabo!
Loya Ruttashobolwa kweli kapenda ua na boga lake...
hiki ni kilio cha mtu ambae wameshamliza hela yake sasa anaona maruerue. hahaha. pole.
Kumbe!
World resources are enough for human needs, not for human greed! - Mahatma Gandhi
Aisifiae Mvuaaaaaa =hiki ni kilio cha mtu ambae wameshamliza hela yake sasa anaona maruerue. hahaha. pole.
hiki ni kilio cha mtu ambae wameshamliza hela yake sasa anaona maruerue. hahaha. pole.