Wiki iliyopita washkaji zangu wawili walipata mkataba wa miaka 3 namibya kwa mshahara mnono,jana jamaa wangu wa karibu pia ameitwa botswana kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa kutakata.hakuna haja kulumbana na mwajiri asiyeweza kunilipa,hata mimi ngoja nisake pa kwenda.
Nendeni hata kuzimu kuna wanaumwa kwa Ajili ya kipondo cha jehanamu, Hamna maana Nyie kabisa; bora nitibiwe na nurse kuliko Nyie. Hata mkiniona naumwa mniache.
Mmefanya niñi sasa Nyie wanafiki kumwomba rais msamaha? Siku zote watu walipokuwa wanakuga kwa migomo yenu mtawaombea Wapi msamaha?
Nyambafu
wewe fara, unaongea kwa kuwa hajakukuta. Manesi wenyewe wa voda fasta mwaka mmoja akutibu kama hujachomwa sindano na kuparalyse mwili mzima mpaka macho.
mlipe kwanza ela yetu tuliowasomeshea+interest
kama hujanielewa ni wazi hata huo 'ubongo' wako umejaa miusaha/makamasi na makohozihujashirikisha ubongo kajipange upya.........
Safari njema!
kama hujanielewa ni wazi hata huo 'ubongo' wako umejaa miusaha/makamasi na makohozi
mlipe kwanza ela yetu tuliowasomeshea+interest
Wiki iliyopita washkaji zangu wawili walipata mkataba wa miaka 3 namibya kwa mshahara mnono,jana jamaa wangu wa karibu pia ameitwa botswana kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa kutakata.hakuna haja kulumbana na mwajiri asiyeweza kunilipa,hata mimi ngoja nisake pa kwenda.
kama hujanielewa ni wazi hata huo 'ubongo' wako umejaa miusaha/makamasi na makohozihujashirikisha ubongo kajipange upya.........
mlipe kwanza ela yetu tuliowasomeshea+interest
hata huko NANIBIA..BOSWANA NK. pia mshahra ni wakawida tu kwakua kule unakua ni wewe tu huna makundi au mjukumu ndio utona kama mshara ni mkubwa kwani DK wengi hapa wanapata $1400 na zaidi yahapo ...
nazungumzia wale walosomeshwa kupitia kodi za wavuja jasho, ile haikua zawadi, and it is not fair mvuja jasho alipishwe kodi afu mtu asomeshwe bure na kuishia kutumika kwengine..huko ni kudhulumu wakulima na wafanyakazi wa tz..Mkuu Abdulhalim, "ela" gani tena hiyo, interest tena??
labda anaposema hapa hamaanishi tz..Mkuu Filonos, wapi hapa Tanzania daktari analipwa $1400, katika hospitali za Umma/Serikali.
Wiki iliyopita washkaji zangu wawili walipata mkataba wa miaka 3 namibya kwa mshahara mnono,jana jamaa wangu wa karibu pia ameitwa botswana kwa mkataba wa miaka 5 na mshahara wa kutakata.hakuna haja kulumbana na mwajiri asiyeweza kunilipa,hata mimi ngoja nisake pa kwenda.
Nendeni hata kuzimu kuna wanaumwa kwa Ajili ya kipondo cha jehanamu, Hamna maana Nyie kabisa; bora nitibiwe na nurse kuliko Nyie. Hata mkiniona naumwa mniache.
Mmefanya niñi sasa Nyie wanafiki kumwomba rais msamaha? Siku zote watu walipokuwa wanakuga kwa migomo yenu mtawaombea Wapi msamaha?
Nyambafu