BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,115
Mwalimu upo vizuri sana mimi mwanangu mazingira tuliyopo sio ya kuichanganya ili kuweza kufikia mawazo yako Nazani daycare itambadilishaSio dalili mbaya kama anaweza sema aaah eee.....ni improvements kubwa sana....sehemu yangu ya kazi watoto wengi hadi 4 years huwa wanakuja wanashindwa kuongea, wazazi huwa wanaleta majibu ya madaktari kisha sisi huwa tunawabadilishia lugha kutoka kiswahili kwenda kiingereza
Baada ya muda huwa wapo vizuri sana, pia mtoto akae mazingira yanayomruhusu kujifunza lugha kwa kusikia both sauti na milio, awe anasikia maneno mengi na sauti nyingi kwa siku zile ndizo zinamsaada katika kujifunza lugha....i mean mchanganye na mazingira ya waongeaji na watoto wenzie wanaocheza na kutamka maneno mengi ile inastimulate ubongo wake na mdomo kukaza mwisho ataweza kuanza kutamka.....
NB: nimetumia taaluma ya elimu ya cambridge na maelekezo yake kwaujumla, mimi sio daktari ni mwalimu.
Hilo ni tatizo ikiwa hasikiii! ila kama anasikia inawezekana hapo mlipo mtoto mnamsemesha luga zaidi ya moja nayo ni sababu ya mtoto kuchelewa kuongea.Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!
Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee
Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Mtoto wako hana tatizo akbisa.Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!
Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee
Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Mkuu i wish nisaidie bure maana nina knowledge kubwa sana ya kusaidia watoto, wazungu wametunoa sana tunamaarifa hayo......japo hizi shule hata kama bei ila inategemea na personality ya mwalimu, mwalimu ndio atakuwa msaada wa mtoto kipindi chote cha makuzi.....Mwalimu upo vizuri sana mimi mwanangu mazingira tuliyopo sio ya kuichanganya ili kuweza kufikia mawazo yako Nazani daycare itambadilisha
PoleAnajikojolea tu hasemi chochote, maji anaenda kuchukua kikombe anakuletea, ukimwambia njoo anakuja
Mkuu umesoma vizuri kweli???Ndugu duh mtoto miezi minne aongee dah ! Bado huyo
mtoto anafikisha hata miaka 2 na anachoongea anakijua mwenyewe huwezi muelewa sembuse hiyo miezi minne hata kusimama dede bado achilia mbali kutembea
Mkuu soma uzi vizuri ndo ujibu uzi, maana hapa umetia aibu. Huyo mtoto ana miaka minne na sio miezi minne.Ndugu duh mtoto miezi minne aongee dah ! Bado huyo
mtoto anafikisha hata miaka 2 na anachoongea anakijua mwenyewe huwezi muelewa sembuse hiyo miezi minne hata kusimama dede bado achilia mbali kutembea
Mkuu soma uzi vizuri ndo ujibu uzi, maana hapa umetia aibu. Huyo mtoto ana miaka minne na sio miezi minne.
Asante
Aisee nimechanganya desa Nimesoma vibaya aisee nikajua ni miezi minne ndio maana nikashangaa kumbe ni miaka 4Mkuu umesoma vizuri kweli???
Hakuna tatizo hapa, inaonekana huyo mtoto mda mwingi anakaa peke yake au anaishi na watu wazima, tafuta watoto wanao endana nae kiumri au walio mzidi kidogo mchanganye nae au tafuta watoto viongeaji sana mchanganye nao, fasta tu mzee...
Kuna mtoto wa ndugu yangu wa kike yaani miaka mitatu hajui kuongea, bahati nzuri kwa jirani kukawa na katoto kamehamia dah haikuchukua mwezi
Kusikia anasikia maana ukiwasha Katuni toka chumba cha pili hata kwa sauti ndogo lazima akulupuke kuja kuchungulia, kuhusu lugha tunaongea lugha moja ya Kiswahili nduguHilo ni tatizo ikiwa hasikiii! ila kama anasikia inawezekana hapo mlipo mtoto mnamsemesha luga zaidi ya moja nayo ni sababu ya mtoto kuchelewa kuongea.
Yupo mtoto wa rafikiangu yupo AUSTRALIA ana umri wa miaka 3 haongei, baada ya kumpeleka hospitality majibu yakaja kuwa mtoto wazazi wanamuongelesha luga tatu kiswahili kizigua na kiingereza ndio iliomchanganya ashidwe kuongea mapema
Wangu hata mama atamki yeye mara chache sana anarudiaga one, two, Hadi five kwa tabuHii nilijua wa kwangu tu,wangu Leo amefunga miaka 2 kamili naye hivyo hivyo anaweza kutamka Mama tena kwa Ku unga unga.