pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,037
- 3,264
Hapa mwishon ndo nimemuelewa polepole kumbe ni kada mtiifu sana wa ccm......
Chadema wamesema hawa wezi kumsafisha lowasa kwa sababu hana makosa
Ana busara hata kushinda baba yako
Huyu Polepole huyu mbona bado kabisa sijamwelewa hata kidogo!
kwani wewe unadhani ana makosa??.eddo hajawahi kuwa rais mwenye mamlaka ya mwisho kama aliiba na ajashitakiwa ina maana hana makosa?
Polepole is genius aisee...hata wanaopiga simu wanamchana Msigwa kuwa ni mchungaji tapeli. Msigwa kapaniki
Hivi mnajuwa polepole ni mkubwa sana,Mtazame kwa makini.Kundi la vijana hayupo tena ni mzee full
Mi ni Ukawa lakini ukweli Msigwa kachemka. Hapo alitakiwa Mnyika au Lissu